Gazeti la Mtanzania kigeugeu

haliaminiki...liko kimaslahi
linajaribu kukingia kifua wamiliki
 
In reality katika kipindi cha miezi miwili Gazeti la Mtanzania limebadilika sana especialy baada ya kupata CEO Mpya Bashe na ni gazeti pekee la daily ambalo limekuwa likiripoti habari kwa usahii na wanafanya utafiti wa kutosha the case in point include Tukio la Gongo la mboto,Tatizo la umeme, mfumuko wa bei ,sometimes nafikiri ni vizuri tuwe tuna apreciate kazi zinazofanywa na wahariri wa Mtanzania, Tatizo mimi ninaloliona ni kwamba tunalihukumu gazeti hili kwa sababu linamilikiwa na Rostan badala ya kuangalia content wameandika nini ,That is unbiased ,Rostan kama Mtanzania ana haki ya kufanya Biashara kama Raia Wengine and so far Rostan ni owner na hausiki na masuala ya Editorial,Tusiwe ni watu wenye mawazo asi tu,tunatakiwa tubadilike penye pema tukubali ,Bashe na Team yako tunawatakia kila la kheri na nawaidi kuanzia sasa nitalinunua gazeti la Mtanzania,

Aisee kumbe mtanzania ndio gazeti pekee la daily lenye kuandika habari kwa usahihi, au pengine ni typing error ulimaanisha kwa usanii, naomba nieleweshe agwambo.
 
Tunapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa......."kwa kikwete ccm sio muhimu km mtanzania linavtyojaribu kupotosha muhimu kwa kikwete ni dowans richmond,lowasa na rostam...........kwa hiyo hawa watu watatu wapo tayari kuihujumu ccm ili mradi maslahi yao ktk dowans yapatikane.............huyu ndiye kikwete mchumi wa maana
 
Wadau nimesoma gazeti la mtanzania toleo la leo jumapili tarehe 27 february 2011 kuna makala isemayo siku za CCM zinahesabika,pia main headline inazungumzia anguko la pato la taifa kutokana umeme...je ni kuwa limejirudi kutoa habari zenye maslahi ya umma au ni janja ya nyani kutafutwa kuungwa mkono ili Dowans ipate mkataba mpya?

Kikwete na wadau wake wapo tayari kuitoa sadaka CCm ili dhamira yao itimie ya kupata mkataba mnono wa Dowans
 
In reality katika kipindi cha miezi miwili Gazeti la Mtanzania limebadilika sana especialy baada ya kupata CEO Mpya Bashe na ni gazeti pekee la daily ambalo limekuwa likiripoti habari kwa usahii na wanafanya utafiti wa kutosha the case in point include Tukio la Gongo la mboto,Tatizo la umeme, mfumuko wa bei ,sometimes nafikiri ni vizuri tuwe tuna apreciate kazi zinazofanywa na wahariri wa Mtanzania, Tatizo mimi ninaloliona ni kwamba tunalihukumu gazeti hili kwa sababu linamilikiwa na Rostan badala ya kuangalia content wameandika nini ,That is unbiased ,Rostan kama Mtanzania ana haki ya kufanya Biashara kama Raia Wengine and so far Rostan ni owner na hausiki na masuala ya Editorial,Tusiwe ni watu wenye mawazo asi tu,tunatakiwa tubadilike penye pema tukubali ,Bashe na Team yako tunawatakia kila la kheri na nawaidi kuanzia sasa nitalinunua gazeti la Mtanzania,

kwa hiyo huyu bashe baada ya kunyimwa ubunge RA kaamua kumpa hilo gazeti..mimi hata waandike dr slaa alishinda uchaguzi uliopita sinunui gazeti hili
 
Bila kupiga hodi na vile ninaingilia kupitia dirishani,na kuja kiuwizi wizi,gazeti la Mtanzania nalitazama kama nyumba ndogo ya sirikali uhuru kuwa ndio nyumba kubwa,Bashe huyu aliyekuwa raia na sie raia ndio CEO? hapa mbona kuna kama mchezo wa luninga kutoka afrika magaribi
 
Tusimlaumu sana |Rostam Azizi masuala mengine wahariri na waandishi wanayasababisha kwa kutaka kujikomba kwa wamiliki , mtu kama balile anabadilika kama kinyonga yaani yeye anachofanya ni kupigania maslahi ya tajiri kwa kuwa sisiem na serikali ya jk imeamua kumtosa bosi wake \Rostam sasa na yeye ameingia vitani kupambana na serikali hakosoi serikali kuna uzalendo wa kuipigania nchi yake bali anap[ambana na serikali kumlipia kisasi bosi wake
WAHARIRI na WAANDISHI mnaheshimiwa sana lakini hamjiheshimu:spy:
 
Back
Top Bottom