In reality katika kipindi cha miezi miwili Gazeti la Mtanzania limebadilika sana especialy baada ya kupata CEO Mpya Bashe na ni gazeti pekee la daily ambalo limekuwa likiripoti habari kwa usahii na wanafanya utafiti wa kutosha the case in point include Tukio la Gongo la mboto,Tatizo la umeme, mfumuko wa bei ,sometimes nafikiri ni vizuri tuwe tuna apreciate kazi zinazofanywa na wahariri wa Mtanzania, Tatizo mimi ninaloliona ni kwamba tunalihukumu gazeti hili kwa sababu linamilikiwa na Rostan badala ya kuangalia content wameandika nini ,That is unbiased ,Rostan kama Mtanzania ana haki ya kufanya Biashara kama Raia Wengine and so far Rostan ni owner na hausiki na masuala ya Editorial,Tusiwe ni watu wenye mawazo asi tu,tunatakiwa tubadilike penye pema tukubali ,Bashe na Team yako tunawatakia kila la kheri na nawaidi kuanzia sasa nitalinunua gazeti la Mtanzania,
Wadau nimesoma gazeti la mtanzania toleo la leo jumapili tarehe 27 february 2011 kuna makala isemayo siku za CCM zinahesabika,pia main headline inazungumzia anguko la pato la taifa kutokana umeme...je ni kuwa limejirudi kutoa habari zenye maslahi ya umma au ni janja ya nyani kutafutwa kuungwa mkono ili Dowans ipate mkataba mpya?
In reality katika kipindi cha miezi miwili Gazeti la Mtanzania limebadilika sana especialy baada ya kupata CEO Mpya Bashe na ni gazeti pekee la daily ambalo limekuwa likiripoti habari kwa usahii na wanafanya utafiti wa kutosha the case in point include Tukio la Gongo la mboto,Tatizo la umeme, mfumuko wa bei ,sometimes nafikiri ni vizuri tuwe tuna apreciate kazi zinazofanywa na wahariri wa Mtanzania, Tatizo mimi ninaloliona ni kwamba tunalihukumu gazeti hili kwa sababu linamilikiwa na Rostan badala ya kuangalia content wameandika nini ,That is unbiased ,Rostan kama Mtanzania ana haki ya kufanya Biashara kama Raia Wengine and so far Rostan ni owner na hausiki na masuala ya Editorial,Tusiwe ni watu wenye mawazo asi tu,tunatakiwa tubadilike penye pema tukubali ,Bashe na Team yako tunawatakia kila la kheri na nawaidi kuanzia sasa nitalinunua gazeti la Mtanzania,