Gazeti la Majira: CUF walaani Udini unaodaiwa kuenezwa na Mwenyekiti wake

Kwa mtazamo wa kina yaani content analysis....utagundua kuwa CUF hawajapinga yale aliyoyaongea Lipumba bali wamemkana Lipumba kwa yale aliyoyaongea....
Suala jingine ni kuwa hatuilaumu CUF kwa kukumbatia udini na ndo maana tumekuwa tukiitetea kila kukicha....ila kauli ya Mwenyekiti ndio imezua kizaazaa kwani inapingana na falsafa ya CUF ya haki sawa kwa wote.....
Mwisho Chama kama chama kinaweza kuwa na masheikh,wachungaji,waganga wa jadi n.k ila wanatekeleza mambo ya kitaifa bila ubaguzi....CHADEMA hakina wachungaji tu,kina wasanii wa muziki,kina mawakili,kina maprofesa,kina masheikh n.k....na hii ndio maana ya kuwa chama cha wananchi....una kusanya makundi mbali mbali ya jamii...!
 
Lakini tunakubaliana kimsingi kwamba Lipumba na Basaleh wamesema walifanya kazi kubwa kunusuru hali ya bwana mkubwa 2010?

A can of worms has been opened.......!!

Lipumba kama kweli ulidanganywa kugawa kura 2010 kwa nia OVU huna hadhi tena ya kuitwa profesa. Kura ugawe gizani kisha unakuja nuruni ( kwenye mwanga) kujambajamba. Shit nenda zako kamlalamikie uliyempa kura kwani waislamu walikutuma kufanya upuuzi huo? Mambo mengine ni kama kinyesi.
 
Hivi ni lini padiri anastaafu,au mchungaji? acha kuropoka angalia chama chako kilivyojaza viongozi wa kidini.Katibu wenu mkuu padiri slaa,angalia wabunge wenu Mchungaji Israel Natse(karatu) na mchungaji peter msigwa (iringa).Chama chenu kikisemwa ni cha kikristo utakataa?Au angalia idadi ya wabunge wenu wa viti maalum wengi ni wachaga,tukisema chama chenu ni cha kichaga utakataa? Wewe mwenyewe ni mtu wa kabila gani? teh teh teh teh

Weee jinga kweli. Lini ulisikia Dr Slaa au hao wachungaji waki address masuala ya siasa kanisani? Tunajua Lipumba hajaanza leo mambo hayo. Kabla hujaweka comment zako umeisikiliza video? Tatizo lako ni shule ndogo tokana na kuwa brainwashed na dini. Unakariri kila kitu!
 
Tumia akili kidogo tu kufikiria na acha ukada wa Chama chako:

Mtoto wa Kanisa na kiongozi wa kanisa kwa miaka kumi natakapokuwa Ikulu yenye Waislamu na Wakristo wenye idadi karibu sawa,tene waislamu wakiwa wamepigika tokea uhuru,hivyo hali itakuwaje

Mimi sijui CHADEMA walitumia busara na hekima gani kumfanya Padre na katibu mkuu mstaafu wa baraza la maaskofu tanzania kuwa mgombea wao uraisi na katibu mkuu wa chama katika nchi kama hii zaidi ya kutafuta mteremko wa kisiasa.

Sijatoka nje ya mada,alichooropoka Lipumba ni ukweli aliouongea mahala pasipo stahiki kwa kuwa waislami ndi mtaji wake,na uropokaji huu ni zao la busara na hekima za CHADEMA.

Ni dhsna za kijinga sana kudhani kuwa ukiingia ikulu unaongoza nchi kama unaongoza genge la nyanya. Kama unadhani ni rahisi hivyo basi Mwanaasha angepata Divisheni wani. Maana amekulia ikulu na babake ni kiongozi mkuu wa nchi. Na kama kuwa Ikulu ni kupitisha kiurahisi matakwa ya kundi fulani basi kwa nini Lipumba alie lie majukwaani kuwa juhudi za waislam kuokoa jahazi la muislam mwenzao hazithaminiwi? Mtu haendi Ikulu kugawa tende wala hsendi kugawa divai. Mhukumu mtu kwa uwezo wake
 
SIRI YA USHINDI WA URAIS MWAKA 2010 NA NJUFA ZA UDINI.

Si jambo la kificho kuwa siasa za Tanzania zinachochea udini. Makanisa yamegeuka kuwa "wakinga mabakuli" wakubwa kutoka kwa wanasiasa wenye uchu wa wazi wa kuwania nafasi za uongozi wa juu wa nchi. Kila mara tunashuhudia harambee ati kuchangia makanisa.


Waendeshaji wakubwa wa harambee hizi ni viongozi wa serikali na viongozi wakuu wastaafu ambao ni wakristo. Si vibaya kuchangia makanisa au kusaidia katika harambee. Lakini, hivi ni sura gani tunayojenga katika jamii kwa kuzifanya harambee hizo kuwa za kisiasa? Je, hatujui kuwa harambee hizi zinatumia dini katika kutimiza ndoto za kisiasa? Na kama tunalalamika kuhusu nyufa la udini linalotukabili, tunawezaje kukwepa ushiriki wetu kuukuza udini kama tunaendekeza zaidi uchu wa fedha kutoka kwa hao wanasiasa, na kujifanya ati hatujui malengo yao?


Napenda kusisitiza kuwa maaskofu wanastahili kubebe mzigo wa lawama kwa kufumbia macho suala la wanasiasa (wakristo) kutumia madhabahu kujitangaza kisiasa. Kwangu mimi huu ni udini! Kwani ni lazima harambee hizi zifanywe na wanasiasa? Kipi ni ghali zaidi, kukosa fedha zenye muelekeo mchafu au kuligawa taifa? Kwa bahati mbaya sana maaskofu (hasa wa kikatoriki na KKKT) wanajifanya hawalioni tatizo hili.


Prof. Lipumba si askofu wala si mkristo. Lakini yeye na wengine wameliona tatizo na wanonesha hisia zao kwa jinsi ambayo wameamua wao kwa mtazamo wao. Anasema wanajipanga (yaani wakristo) na wao pia (waislamu) wanaaswa kujipanga! Nakubaliana na Lipumba kuhusu nia na mwelekeo mbaya wa viongozi wa kikristo kuendekeza wanasiasa wenye muelekeo wa udini. lakini sikubaliani na wito wake wa wao pia kujipanga.


Kwa maoni yangu, wote WAKRISTO na WAISLAMU tunalo jukumu la pamoja la kusimamia misingi ya umoja wa taifa na kuepuka njia zenye lengo la kuligawa taifa katika misingi ya udini. Napata pia picha kuwa udini unaoshamiri sasa umezaliwa wakati wa harakati za uchaguzi wa 2010 (ni zao la siasa chafu). Na nguvu ya muendelezo wake ni udhaifu wa serikali na vyombo vya dola, pamoja na hasira za usaliti wa ahadi za uchaguzi uliopitaka kuhusu maslahi ya waislamu.


Si kosa la waislamu kudai haki zao, bali waliotoa ahadi walitumia dini kuwandangaya waislamu. Kwa bahati mbaya sana waliotumia udini kutimiza malengo yao ya kisiasa wameshindwa kuzifuta hisia za udini miongoni mwa watanzania. nadhani tunao wajibu wa msingi katika kuepuka matakwa ya kisiasa yanayochochea udini. Badala yake tuwapuuze wale wote wanaoendeleza kupanda mbegu za udini.


MUNGU ATUPE HEKIMA ZAIDI.

Hata Mimi sipendi kabisa tabia ya viongozi wetu aw dini kutumika ktk harambee za kusaka pesa. Watazilipaje? Lakini hata Kikwete ni mkristo? Simamia haki katika kusema kwako.

ImageUploadedByJamiiForums1369668615.789320.jpg
 
Shekh Basaleh aliniduwa zana aliposhindwa hata kuelewa kauli ya waziri aliye mnukuu gazetini aliposema Katiba isiwe kwa maslahi ya wachache, Sitaki kuamini kama upeo wake uliishia kwa kufananisha na kwakuwa walemavu wachache basi eti katiba isijali maslahi yao na bado watu wanashangilia takibirrrrrr
Nabado akaendelea kusema kwakuwa waziri kaongelea akiwa kanisani basi anamuomba Prof afunguke..........................na Prof bingwa wa uchumi pasi kutumia weledi kamwagika pwaaaaaa
Nadhani kwa hili la purof. Lipumba "kufunguka" mbele ya umma wa watanzania (alikuwa hazungumzi na waislamu tuu, ndo mana microfone kadhaa zilikuwepo na video recording for broadcasting), kuwa yeye anajiandaa kuchukua nchi kwa niaba ya waislam, awakabidhi waislamu rasilimali za nchi, hana budi kusisitiza hilo kwenye kampeni zake zijazo 2015, kama kweli dhamira yake ya kiislamu ilikuwa safi.
Na kama kweli ana nia thabiti ya kuwakomboa waislamu kutoka daraja la nne hadi la kwanza assiste kuzunguka na wimbo huo nchi nzima kwenye kamapeni.
And I hope this time tutakuwa na Presidential debate"
Am worried lipumba kama ana mpango wa kurudi 2015.
no wonder naamua kuiharibu CUF.
 
Wacha maneno ya hovyo hovyo hiyo ni haki yake watu wamesha amka chadema wamefanya udini mara ngapi au munafanya siri tunajua yote LIPUMBA BAEREZE BAELEWE wamemwaga mboga na wewe mwaga ugali kama mbaya wacha iwe mbaya.
Mwambie jamaa yako akaoe ndio anaweza sema yaliyo na maana
Kuwa Professor sio kigezo cha kuwa mtu muhimu mbele ya jamaa wakati hana watoto
Leo CUF wanawadanganya kuwa kayasemea km mtu Binafsi kumbe kamkaanga JK wakati hata asingemsaidia CUF isingepata 25% ya kura


580148_459426480818821_1828268863_n.jpg

Hapa sijui nani utanuita mnaf
 
Acha uongo wewe.

Mbona Padre Slaa anapiga siasa na ni katibu mkuu mstaafu wa baraza la maaskofu Tanzania?

Mtu akiwa mstaafu bado tu anabaki na wadhifa wake? Elimu ya wapi hii?? Na kwa taarifa yako Slaa hakustaafu, aliacha Upadre mwenyewe kwa hiari yake.Hivyo slaa ni zaidi ya huyo unaedhani kastaafu
 
Ni dhsna za kijinga sana kudhani kuwa ukiingia ikulu unaongoza nchi kama unaongoza genge la nyanya. Kama unadhani ni rahisi hivyo basi Mwanaasha angepata Divisheni wani. Maana amekulia ikulu na babake ni kiongozi mkuu wa nchi. Na kama kuwa Ikulu ni kupitisha kiurahisi matakwa ya kundi fulani basi kwa nini Lipumba alie lie majukwaani kuwa juhudi za waislam kuokoa jahazi la muislam mwenzao hazithaminiwi? Mtu haendi Ikulu kugawa tende wala hsendi kugawa divai. Mhukumu mtu kwa uwezo wake

Hizi ni porojo za kitoto sana,nenda kawasimulie watoto wa chekechea.

Unachezea mamlaka ya Raisi wewe.Sikulaumu san najua ni akili zako za mgando ndio zinakutuma kuandika huu ushuzi hapa.
 
Mtu akiwa mstaafu bado tu anabaki na wadhifa wake? Elimu ya wapi hii?? Na kwa taarifa yako Slaa hakustaafu, aliacha Upadre mwenyewe kwa hiari yake.Hivyo slaa ni zaidi ya huyo unaedhani kastaafu

Padre Slaa ndio jina lake,yeye mwenyewe ndio aliamua kusomea hiyo kazi,historia sasa inamuhukumu.

Huwezi kuwa na historia kama ya Padre Slaa alafu akawa Raisi wa Nchi kama Tanzania yenye waumini wa kiislamu na kikristo karibu sawa,kama sio kutaka kumwaga Damu nini.Am sory to say this but ndi ukweli wenyewe.
 
Tumia akili kidogo
tu kufikiria na acha ukada wa Chama chako:

Mtoto wa Kanisa na kiongozi wa kanisa kwa miaka kumi natakapokuwa Ikulu
yenye Waislamu na Wakristo wenye idadi karibu sawa,tene waislamu wakiwa
wamepigika tokea uhuru,hivyo hali itakuwaje

Mimi sijui CHADEMA walitumia busara na hekima gani kumfanya Padre na
katibu mkuu mstaafu wa baraza la maaskofu tanzania kuwa mgombea wao
uraisi na katibu mkuu wa chama katika nchi kama hii zaidi ya kutafuta
mteremko wa kisiasa.

Sijatoka nje ya mada,alichooropoka Lipumba ni ukweli aliouongea mahala
pasipo stahiki kwa kuwa waislami ndi mtaji wake,na uropokaji huu ni zao
la busara na hekima za CHADEMA.

Uchaguzi ujao wakristo wapigie kura wakristo wenzao na waislam hali kadhalika, tuone sasa vuta nikuvute itakuaje! Hakuna mwislam atapata kura ya mkristo iko wazi hiyo kwa yaliyotokea yanatosha. iko hivyo hutaki unaacha
 
Hizi ni porojo za kitoto sana,nenda kawasimulie watoto wa chekechea.

Unachezea mamlaka ya Raisi wewe.Sikulaumu san najua ni akili zako za mgando ndio zinakutuma kuandika huu ushuzi hapa.
Rais haongozi nchi kama anaongoza kijiwe cha madrassa au Sunday school wewe. Danganyaneni misikitini
 
Video ipo.....! Profesa liPUMBA hafai kuwa kiongozi wa nchi hana tofauti na Profesa MuoNgO

Profesa "MuoNgO" hawezi kufanya mambo kinyume na matakwa ya Bosi wake (ambaye alimpa ubunge na uwaziri kabla hata kuapishwa bungeni) kwa la Mtwara naamini hivyo, mi waziri namkubali kwa kigezo changu kidogo tu mwezi January mwaka huu alizuia ongezeko la bei ya umeme, hatimae tukainusuru nchi na mfumuko wa bei ambao nishati hasa ya umeme ingeweza kupandisha bei za bidhaa kama mchele ambao lazima mpunga ukoborewe unga ambao lazima mahindi yasagwe au sasa bei ya cement, nondo,bati misumari,rangi na bidhaa nyingi za viwandani zisingekua na nafuu hii achili mbali bia na soda. Hivyo kwa kudhibiti bei ya umeme aliokoa mengi sana. Profesa Sospeter Mulongo sio MuoNgO kaka. Kumbuka pia kuna mkopo wa masharti nafuu kutoka Exim Bank ya China USD 1.225 bilioni zimeshakopwa tayari ambazo inabidi tulipe na huo mradi unasimamiwa na serikali ya China hapa Bosi anahusika pia, kuna suala la mradi wa umeme megawati 840 na pia gesi nyingine kusambazwa kwenda Morogoro,Tanga, Kilimanjaro na Arusha. Huyu mzee sio muongo
 
Padre Slaa ndio jina lake,yeye mwenyewe ndio aliamua kusomea hiyo kazi,historia sasa inamuhukumu.

Huwezi kuwa na historia kama ya Padre Slaa alafu akawa Raisi wa Nchi kama Tanzania yenye waumini wa kiislamu na kikristo karibu sawa,kama sio kutaka kumwaga Damu nini.Am sory to say this but ndi ukweli wenyewe.

Kwaiyo pamoja na upumbavu wa Lipumba alioutoa msikitini wewe ndio unaona anafaa?
 
Uchaguzi ujao wakristo wapigie kura wakristo wenzao na waislam hali kadhalika, tuone sasa vuta nikuvute itakuaje! Hakuna mwislam atapata kura ya mkristo iko wazi hiyo kwa yaliyotokea yanatosha. iko hivyo hutaki unaacha

Huu ni upuuzi, sisi tunachotaka na kulilia ni mtu kuchaguliwa kwa misingi ya kikatiba sio misingi ya msikiti au kanisa ndio maana tuna kina Pengo na Shaban Bin Simba kama kadinali na Sheikh Mkuu wa Tanzania kwa mfuatano
 
Dhambi uitendayo itakugharimu mwenyewe., ..... mfano, ukifanya uzinzi na uasherati unaweza kufumaniwa ama kupoteza upendo wa mkeo, pili utapoteza pesa nyingi na uchumi kushuka na Mbaya zaidi VVU.Na kwa wale wenye udini, eti nikimchagua wa dini yangu itakusaidia zaidi, ni upofu. Na dhambi ya ubaguzi ni mbaya na itakutafuna. Angalia mfano Lipumba na jinsi FASTJET walivyowasiliti waislamu. check jinsi waislamu walivyotwangwa mabomu na risasi MTWARA, bila hurumaaa
 
Back
Top Bottom