nguvukazi mikono
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 490
- 32
Huu ni upuuzi, sisi tunachotaka na kulilia ni mtu kuchaguliwa kwa misingi ya kikatiba sio misingi ya msikiti au kanisa ndio maana tuna kina Pengo na Shaban Bin Simba kama kadinali na Sheikh Mkuu wa Tanzania kwa mfuatano
Muongeze na katibu mstaafu wa baraza la maaskofu Padre Slaa