frajomedia
Member
- May 1, 2016
- 35
- 7
Kampuni ya Frajo Media House Limited yenye makazi yake wilaya ya Bukoba mjini maeneo ya National Housing,mkoa wa Kagera inatarajia kuzindua gazeti la Hamasa mwezi wa 8,lengo la gazeti ni kuhamasisha maendeleo kwa mkoa wa Kagera na kanda ya ziwa kwa ujumla.
Kwenye Takwimu za umasikini Tanzania,mikoa ya Kanda ya ziwa tumeongoza kwa umasikini kagera ikishika nafasi ya 3 ikifuatiwa na mwanza,hivyo gazeti ili litakuwa mkombozi kwa kuelimisha na kutoa mbinu mbalimbali kwa wakulima,wajasiriamali n.k,namna bora ya kujikomboa kutoka kwenye umasikini,pia litaburudisha
Tunaomba mtuunge mkono kuelekea kwenye mapinduzi haya ya kuelimisha jamii katika kuondoa umasikini.
Kwa wataalamu wote wenye maoni tofauti tofauti namna ya kuondoa umasikini,mnaombwa mtume maoni yenu kwenye email ya frajomedia@gmail.com au namba 0755764273 na 0689401669 pia tuna page facebook ya Frajo media House limited
Tulianza na Hamasa Talkshow katika kuelimisha jamii kupitia mazungumzo,unaweza kuangalia kipindi youtube kwa jina la Frajo Media.Pia tunaonesha vivutio mbalimbali vya utalii vinavyopatikana Kagera,tuna page facebook ya Kagera Tourism na website www.kageratourism.com
Lengo la Gazeti la Hamasa ni kuhamasisha maendeleo ili kuongeza vipato kwa wananchi na mkoa katika kuisaidia serikali kuondoa umasikini.
Tunaomba pia wakazi wa kanda ya ziwa mlioko nje ya mkoa na nchi ambao mnashiriki au mna vikundi vyenye kusaidia mikoa yenu muweze kuwasiliana na sisi ili kutangaza shughuli zenu na hatimaye kushirikiana kuondoa umasikini.
Asanteni sana,pamoja tunaweza kuhamasisha maendeleo na kuondoa umasikini.
Pia unaweza kuangalia kuhusu Hamasa Talkshow hapa
update:
Gazeti lako la HAMASA la mwezi wa 9 likiwa na habari kemkem kama utalii wa utamaduni unavyoweza kuondoa umasikini Kagera,Taarifa kuhusu mradi wa Tushirikishane ulioanza Bukoba,taarifa kuhusu ujenzi wa soko,stendi ya mabasi Bukoba,namna ya kuondoa tatizo la ajira Kagera,maazimio yaliyofikiwa kwenye ziara ya waziri William Lukuvi na waziri Angela kailuki,sehemu ya pili kuhusu ugonjwa wa UTI,
Faida na changamoto za bodaboda,jinsi ya kujikwamua kiuchumi kupitia Wadau wa elimu,wanawake wanavyolazimika kujifungua njiani Bukoba vijijini,ziara za Balozi Kamala kwa wananchi wake,habari za kanda ya ziwa,wafahamu wasanii wa Kagera kama Be Friends wazee wa Nabumbuiga na Tamimu Omurungi mfalme wa Zuku Kagera
Matukio ya Fiesta Muleba,Historia ya Kagera,Shindano la kisura wa HAMASA linaendelea,ukitaka kushiriki wasiliana na sisi zawadi nono kutolewa,
Na habari nyingine nyingi za ujasiriamali,burudani,ubunifu,elimu,afya,uwekezaji,mitindo,urembo,mahusiano,riwaya,vitimbi na vichekesho,uchambuzi,makala,wasanii,sayansi na teknolojia,michezo,utalii,utamaduni,kilimo, nakadhalika.
Kwenye Takwimu za umasikini Tanzania,mikoa ya Kanda ya ziwa tumeongoza kwa umasikini kagera ikishika nafasi ya 3 ikifuatiwa na mwanza,hivyo gazeti ili litakuwa mkombozi kwa kuelimisha na kutoa mbinu mbalimbali kwa wakulima,wajasiriamali n.k,namna bora ya kujikomboa kutoka kwenye umasikini,pia litaburudisha
Tunaomba mtuunge mkono kuelekea kwenye mapinduzi haya ya kuelimisha jamii katika kuondoa umasikini.
Kwa wataalamu wote wenye maoni tofauti tofauti namna ya kuondoa umasikini,mnaombwa mtume maoni yenu kwenye email ya frajomedia@gmail.com au namba 0755764273 na 0689401669 pia tuna page facebook ya Frajo media House limited
Tulianza na Hamasa Talkshow katika kuelimisha jamii kupitia mazungumzo,unaweza kuangalia kipindi youtube kwa jina la Frajo Media.Pia tunaonesha vivutio mbalimbali vya utalii vinavyopatikana Kagera,tuna page facebook ya Kagera Tourism na website www.kageratourism.com
Lengo la Gazeti la Hamasa ni kuhamasisha maendeleo ili kuongeza vipato kwa wananchi na mkoa katika kuisaidia serikali kuondoa umasikini.
Tunaomba pia wakazi wa kanda ya ziwa mlioko nje ya mkoa na nchi ambao mnashiriki au mna vikundi vyenye kusaidia mikoa yenu muweze kuwasiliana na sisi ili kutangaza shughuli zenu na hatimaye kushirikiana kuondoa umasikini.
Asanteni sana,pamoja tunaweza kuhamasisha maendeleo na kuondoa umasikini.
Pia unaweza kuangalia kuhusu Hamasa Talkshow hapa
update:
Gazeti lako la HAMASA la mwezi wa 9 likiwa na habari kemkem kama utalii wa utamaduni unavyoweza kuondoa umasikini Kagera,Taarifa kuhusu mradi wa Tushirikishane ulioanza Bukoba,taarifa kuhusu ujenzi wa soko,stendi ya mabasi Bukoba,namna ya kuondoa tatizo la ajira Kagera,maazimio yaliyofikiwa kwenye ziara ya waziri William Lukuvi na waziri Angela kailuki,sehemu ya pili kuhusu ugonjwa wa UTI,
Faida na changamoto za bodaboda,jinsi ya kujikwamua kiuchumi kupitia Wadau wa elimu,wanawake wanavyolazimika kujifungua njiani Bukoba vijijini,ziara za Balozi Kamala kwa wananchi wake,habari za kanda ya ziwa,wafahamu wasanii wa Kagera kama Be Friends wazee wa Nabumbuiga na Tamimu Omurungi mfalme wa Zuku Kagera
Matukio ya Fiesta Muleba,Historia ya Kagera,Shindano la kisura wa HAMASA linaendelea,ukitaka kushiriki wasiliana na sisi zawadi nono kutolewa,
Na habari nyingine nyingi za ujasiriamali,burudani,ubunifu,elimu,afya,uwekezaji,mitindo,urembo,mahusiano,riwaya,vitimbi na vichekesho,uchambuzi,makala,wasanii,sayansi na teknolojia,michezo,utalii,utamaduni,kilimo, nakadhalika.