MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,432
Mtu ukiondoka bongo kwenda kuishi ughaibuni, ukipiga dili yoyote huko ughaibuni, hata kama ni tenda ya kutoka Bongo, reference yetu Bongo ni kuwa hiyo dili umepiga huko!. Mimi sizugi chochote!, the issue at hand ni mmiliki wa Jambo Leo ni nani na sio alipiga dili gani?.
Honestly we should be proud of him kuwa hiyo dili imepigwa na mbogo na proceeds amewekeza home Bongo!.
Pasco.
Poor Tanzania!!!!