Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,478
- 113,583
Kama ni kuja DIT kucheza mazoezi ya TASWA FC, hata mimi nilikuwepo na sii kweli yeyote kati yetu aligongea denti nauli!, unless mlikuwa mkijuana kabla, na hiyo gongea ni ile ya kiushkaji tuu!.Pasco hizi si akili zako ni hangover za upambe, huyu pinto namkumbuka tuko zetu tunasoma pale DIT anakuja kufanya mazoezi na TASWA FC yeye na kitenge wanagongea nauli ya daladala kwa wanafunzi, eti kaenda UK siku mbili kapata mtaji, mbona Chris Lukosi hajapata mtaji ?
Hili la inachukua muda gani ku win ni relative!. Kuna watu nawajua, wako kule miaka nenda miaka rudi na hawakanyaga tena bongo!, wamefiwa na baba na mama hadi kuja kuzika tuu wameshindwa!. Kuna watu wanakwenda UK, wanapiga "trip moja tuu!", wanawin!, na wanarudi home bongo na kuwekeza!. Kwa vile fulani ameshindwa, haina maana kila aliye win basi lazima ni "sembe!".
Kwa mujibu wa kumbukumbu yangu, JP, hakwenda UK kwa siku mbili!, iliishi kipindi kirefu, na dili aliyopiga huko inajulikana sio "sembe!".
P.