Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,119
JP!!!! SK!!! AND CO. Tuendelee kuwaweka kwenye mizani iko siku siri yao kubwa itafichuka tu!
time will tell:teeth:
Unatisha sana ! Ulijuaje haya aisee ! Nakuamkia mkuu , SHIKAMOO !
JP!!!! SK!!! AND CO. Tuendelee kuwaweka kwenye mizani iko siku siri yao kubwa itafichuka tu!
time will tell:teeth:
Sasa mbona hawawalipi waandishi wao?Jambo leo ni gazeti la Ridhiwani Kikwete, Juma Pinto ni either business partner wake (or executive employee?)
Sasa mbona hawawalipi waandishi wao?
Jambo leo ni gazeti la Ridhiwani Kikwete, Juma Pinto ni either business partner wake (or executive employee?)
- Majungu ya walishindwa maisha ya bongo, kila mali ya bongo ni ya Ridhiwani nimeeenda Tanga nimeambiwa kila mali pale mjini ni ya Ridhiwani, hapa mjini kila mali kubwa ni ya Ridhiwani, poleni sana people fanyeni kazi kwa bidiii na nyinyin muwe na mali kuliko kukaa kuzushia watu majungu tena ya kitoto kama haya!!
- People fanyeni kazi punguzeni haya majungu mnaharibu majina ya watu bila sababu, haya ni simply majungu at best!!, kama ni majina ya wauza unga yanajulikana sana tena wengine ni viongozi wa huko Upinzani, wala sio siri hii ishu kuna siku itakuja kuwapasukia na facts mtashangaa sana hapa, wacheni kzushia watu maneno ya uongo, Ridhiwani hana hizo mali mnazosema amewapa nafasi mara nyingi ya kuonyesha evidence hamjawahi kuonyesha zaidi tu ya majungu, sasa mali yote waliyonayo Pinto na Ridhiwani bado tena wapo kwenye unga? Simply Childish!!
Le Mutuz
JP!!!! SK!!! AND CO. Tuendelee kuwaweka kwenye mizani iko siku siri yao kubwa itafichuka tu!
time will tell:teeth:
Mamndenyi
- Majungu ya walishindwa maisha ya bongo, kila mali ya bongo ni ya Ridhiwani nimeeenda Tanga nimeambiwa kila mali pale mjini ni ya Ridhiwani, hapa mjini kila mali kubwa ni ya Ridhiwani, poleni sana people fanyeni kazi kwa bidiii na nyinyin muwe na mali kuliko kukaa kuzushia watu majungu tena ya kitoto kama haya!!
- People fanyeni kazi punguzeni haya majungu mnaharibu majina ya watu bila sababu, haya ni simply majungu at best!!, kama ni majina ya wauza unga yanajulikana sana tena wengine ni viongozi wa huko Upinzani, wala sio siri hii ishu kuna siku itakuja kuwapasukia na facts mtashangaa sana hapa, wacheni kzushia watu maneno ya uongo, Ridhiwani hana hizo mali mnazosema amewapa nafasi mara nyingi ya kuonyesha evidence hamjawahi kuonyesha zaidi tu ya majungu, sasa mali yote waliyonayo Pinto na Ridhiwani bado tena wapo kwenye unga? Simply Childish!!
Le Mutuz
PascoGazeti la Jambo leo, linamilikiwa na kijana Mtanzania, Juma Pinto, ni mwandishi wa habari wa zamani wa gazeti la Majira, baadaye akaenda kuishi nchini Uingerezxa kwa miaka kadhaa, akapata mtaji wa kutosha, ndipo mwaka juzi akaamua kurudi Tanzania na kuanzisha gazeti hilo la Jambo Leo.