Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 4,721
- 3,164
duh aseee....hahah ko serikali imemwaga ajira et,
Mi naona CHENGA TUUGazeti hili toleo la leo linaongozwa na habari kuu inayosomeka:
"Ikulu ya Magufuli yamwaga ajira"
Hata hivyo ukisoma kichwa kidogo chini yake ajira zinazoongelewa ni zile ajira 39 za wenyeviti wa bodi,ma-DED,RAS na ma-DC.
Sijui nyie wenzangu mnaonaje hapa.
hahaha jiwe gizaniGazeti hili toleo la leo linaongozwa na habari kuu inayosomeka:
"Ikulu ya Magufuli yamwaga ajira"
Hata hivyo ukisoma kichwa kidogo chini yake ajira zinazoongelewa ni zile ajira 39 za wenyeviti wa bodi,ma-DED,RAS na ma-DC.
Sijui nyie wenzangu mnaonaje hapa.
wanampiga madongo hahahahMwandishi kanjanja ,mhariri kanjanja itungwe tu sheria nyingine kali iwabane makanjanja kama wa Habari Leo.
jana tu niliona unatafutwa humu tukadhani wameku bensaananeGazeti hili toleo la leo linaongozwa na habari kuu inayosomeka:
"Ikulu ya Magufuli yamwaga ajira"
Hata hivyo ukisoma kichwa kidogo chini yake ajira zinazoongelewa ni zile ajira 39 za wenyeviti wa bodi,ma-DED,RAS na ma-DC.
Sijui nyie wenzangu mnaonaje hapa.
Nahisi hiyo ni njia ya kuuzia gazeti hilo tuGazeti hili toleo la leo linaongozwa na habari kuu inayosomeka:
"Ikulu ya Magufuli yamwaga ajira"
Hata hivyo ukisoma kichwa kidogo chini yake ajira zinazoongelewa ni zile ajira 39 za wenyeviti wa bodi,ma-DED,RAS na ma-DC.
Sijui nyie wenzangu mnaonaje hapa.
Afadhali hata ya shingongohili gazeti halina utofauti na yale ya Shigongo.
Ulitegemea serikali ijiponde yenyewe au iusifie upinzani?Kati ya vitu ambavyo siwezi hata kufikilia nakupoteza muda wangu ni kuangalia nakusikiliza TBC au kusoma hili gazeti la habari leo,coz sioni kama wanauledi huo wapo kusifia serikali tuu navipindi vyao ni upuuzi mtupu no creativity poor organized,nibora niangalie pornal kwenye cm kuliko hizi media zinazoitwa za serikali
Me I think vile sio vyombo vya habari vya serikali nivya CCM,Ulitegemea serikali ijiponde yenyewe au iusifie upinzani?