Gaza nimeanza kuwahurumia asee!

Gaza nimeanza kuwahurumia asee!

mcTobby

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
6,631
Reaction score
18,670
Sikutegemea kwamba itafika stage kwenye hii vita ,wapalestina wanakufa kwa njaa. Mashirika na jumuiya za kimataifa ziingilie kati tu kumaliza hii vita. Nchi za kiarabu zisikae kimya pazeni sauti. Ombaneni msamaha
2025-07-23T092415Z_1143087226_RC28SFADY7KA_RTRMADP_3_ISRAEL-PALESTINIANS-GAZA-HUNGER-1024x700.jpg
 
Usiue hautouliwa ukiua na wewe utauawa jamaa wa Hamas kutoka Palestina ambao wapo Gaza mpaka leo waliingia Israel wakaanza kuua wakaendelea kuua wakaua tena wakaua na majigambo mpaka kwenye social media mbwembwe kibao mpaka raia wasiohusika kabisa (Watanzania pia waliuawa), sasa kimewarudi kweli waliosema Karma is a Bitch hawakukosea
 
Kiufupi ni kwamba IDF imeshindwa vita na Hamas...
Kama wanapambana na Hamas wapambane huku raia wakipata misaada.. IDF huko Gaza askari wake kila siku wanapigwa ambush na kuuawa na Hamas...

Tazama askari wa IDF alivyolengwa na sniper wa Hamas, hii ni huu mwezi, hizi sniper wanazitengeneza hapo hapo Gaza..

View: https://www.youtube.com/watch?v=_gTlGhnqJo0

Tazama askari wa IDF alivyolengwa na sniper..

View: https://www.youtube.com/watch?v=t7IlnkNVk9I


Askari wa IDF wanavyomalizwa, hii video week mbili zimepita Khan Yunus..


View: https://www.youtube.com/watch?v=6xn5BNXmrOo



Hii vita IDF imeshindwa...
 
Kiufupi ni kwamba IDF imeshindwa vita na Hamas...
Kama wanapambana na Hamas wapambane huku raia wakipata missada.. IDF huko Gaza askari wake kila siku wanapigwa ambush na kuuawa na Hamas...

Hii vita IDF imeshindwa...
Chakula kikipelekwa Hamas wanachukua chote maana na wao njaa zinawauma, hapo unataka iweje?
 
Usiue hautouliwa ukiua na wewe utauawa jamaa wa Hamas kutoka Palestina ambao wapo Gaza mpaka leo waliingia Israel wakaanza kuua wakaendelea kuua wakaua tena wakaua na majigambo mpaka kwenye social media mbwembwe kibao mpaka raia wasiohusika kabisa (Watanzania pia waliuawa), sasa kimewarudi kweli waliosema Karma is a Bitch hawakukosea
Walioanza kuua wenzake ni Israel... hadi 2023 Oct 7 kabla ya uvamizi Israel ilishaua Palestinians zaidi ya laki moja toka kuingia kwake pale 1948...

Sioni hamas walichokosea ilikuwa ni sawa tu..
 
Adui mwombee njaa atatoka tu alikojificha aje nje kutafuta Chakula ndio hii sasa
Kiongozi Hamas wameshindikana, wana viwanda vya silaha hapo hapo Gaza.. wanatengeneza hadi sniper, chakula wanacho... maroketi ya kupiga vifaru na mabomu ya kutega wanatengeneza wao na kila siku wanalipua merkava tanks..
 
Walioanza kuua wenzake ni Israel... hadi 2023 Oct 7 kabla ya uvamizi Israel ilishaua Palestinians zaidi ya laki moja toka kuingia kwake pale 1948...

Sioni hamas walichokosea ilikuwa ni sawa tu..
Kwa hio wewe unapoingiliwa kwenye Himaya yako hutakiwi kumfurusha yule aliekuingilia, unataka kusema Iddi Amini 1975 alikua sahihi kuivamia Kagera?
 
Kiongozi Hamas wameshindikana, wana viwanda vya silaha hapo hapo Gaza.. wanatengeneza hadi sniper, chakula wanacho... maroketi ya kupiga vifaru na mabomu ya kutega wanatengeneza wao na kila siku wanalipua merkava tanks..
Wameshindikana sasa msilie watu wanakufa njaa acheni wafe njaa hivyo hivyo mpaka hicho kizazi chote kiishe kije kizazi kingine
 
Wameshindikana sasa msilie watu wanakufa njaa acheni wafe njaa hivyo hivyo mpaka hicho kizazi chote kiishe kije kizazi kingine
Tofautisha hamas na raia wa Gaza, Israel inafanya uhalifu wa kivita kutoruhusu mashirika ya kutoa misaada kuwapa misaada wahanga wa vita...
Anayepambana na Israel ni Hamas sio raia wa Gaza... umeelewa?
Israel anavunja sheria ndio maana ICC walitoa tamko Netanyahu anafanya uhalifu wa kivita...
 
Back
Top Bottom