Gavana Ndulu(BoT): Kufungua akaunti maalum si kosa, fedha kuliwa ni vigumu

hata hujui unachosema... the way tu una argue unaonesha you are very unproffesional.... with little knowledge of academics
Ila huyu Gujalati kaja kujifunzia humu haya mambo.
Nmegunduwa neno kilaza linaweza kuwa lilianzia kwa huyu jamaa. Nonsense urge
 
Bavicha kwa uongo hawajambo

Akiri za watanzania walio wengi mnowatawala ambao hamtaki wapate Elimu bora wazijue haki zao naona umewawakilisha hapa sasa kwa akiri kama zako Trump anasema bora Afrika itawaliwe tena watu tunaongelea Uchumi wa nchi kwa maslai mapana ya nchi we unaleta ugonjwa wako wa kifafa mala bavicha
 
Awamu yenye lack division of labour...mambo ni kanya twende hakuna cha professionalism wala nini zaidi ya emotional technique.
 
Ngoja nikupige quiz baby...

Quiz

1. What is current account?

2. What is fixed deposit account?

3. Chagua jibu sahihi;
Kama kampuni Ina fadha nyingi na hazitatumika ndani ya miezi mitatu na kuendelea zinawekwa kwenye account gani
a. Current
b. Fixed
c. Kwa mg'wana Ndullu (BOT)
angalia asije kujibu account ya CCM maana huyu kada kichwa ngumu kweli mkuu
 
Msajili wa hazina amesema hakuna hasara yoyote wala wizi wowote unaofsnyika kwa pesa za serikali zinapowekwa kwenye akaunti ya mda mrefu (fixed account) maana miamala ya benki ipo wazi na mtu yeyote hawezi kuiba pesa wala kuleta udanganyifu wa fedha za umma.

Hii ameisema Leo akiwa anaongea na waandishi wa habari kulikuwa na ukakasi baada ya rais magufuli kuvunja bodi ya mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) msajili wa hazina amesisitiza kuwa pesa zinapokuwa kwenye akaunti ya mda mrefu ni kufatana na matumizi yaliyoainishwa na serikali kutumika kwa mda amesmema lengo la kuweka pesa kwenye fixed account ni zuri wala halina upotevu wa pesa.

Source.mwananchi
 
kimsingi ajiuzulu tu....nchi yetu ina bahati mbaya ...inauawa na ndugu zetu tena tuliotoka wote huku kijijini
 
Baba mtakatifu hana ujuzi wa fedha na uchumi lakini anataka yeye mwenyewe awe ndiye anaongoza maamuzi ya sekta hii.
Pazito hapo.
 
Msajili wa hazina amesema hakuna hasara yoyote wala wizi wowote unaofsnyika kwa pesa za serikali zinapowekwa kwenye akaunti ya mda mrefu (fixed account) maana miamala ya benki ipo wazi na mtu yeyote hawezi kuiba pesa wala kuleta udanganyifu wa fedha za umma.

Hii ameisema Leo akiwa anaongea na waandishi wa habari kulikuwa na ukakasi baada ya rais magufuli kuvunja bodi ya mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) msajili wa hazina amesisitiza kuwa pesa zinapokuwa kwenye akaunti ya mda mrefu ni kufatana na matumizi yaliyoainishwa na serikali kutumika kwa mda amesmema lengo la kuweka pesa kwenye fixed account ni zuri wala halina upotevu wa pesa.

Source.mwananchi
Hakuna kosa kufungua FDA. Ni product moja wapo katika Bank.
Amehoji, "Public Sector or Government Agency or Parastatal organization umeomba fund Treasury kwa matumizi ya taasisi, iweje tena uweke kwenye FDA badala ya kutumia kama ulivyo omba?" Ni swali ambalo lina hitaji drawing board.
 
Hakuna kosa kufungua FDA. Ni product moja wapo katika Bank.
Amehoji, "Public Sector or Government Agency or Parastatal organization umeomba fund Treasury kwa matumizi ya taasisi, iweje tena uweke kwenye FDA badala ya kutumia kama ulivyo omba?" Ni swali ambalo lina hitaji drawing board.
nakukubali kwa uelewa wako.
 
Huwezi pewa pesa iliyopitishwa kwenye bajeti na Bunge bila kuiomba serikalini...TRA waliomba hiyo pesa kitu kinachomaanisha huo upembuzi yakinifu ulishafanyika na kilichobaki ni utekelezaji wa miradi yote iliyopangwa kufanyika na si vinginevyo.
Una akika na unachokisema unajua shughuli za kiserikali zinachukua mda gani kufanyika kama ofisi ndo tu ya TRA kimara mpk leo bado akijakamilika ukarabati kaulize nn shida tuache maigizo je iyo hela ulitaka ikae mfukoni mwa muweka hazina au ndo unataka ufisadi wa lazima
 
The problem with tanzanians is we dance for everything our politicians do. They enter into power we dance, they still our rights we dance, they drop our economy we dance, they appoint their relative to public office we dance, they unfairly suck employees we dance, our lives becomes tough we dance, they apply chemistry in our economy we dance. I think solution is to stop dancing!

= steal

Pia jitahidi sana kusoma kuhusu "grammar".

Faidika na darsa la FaizaFoxy wa JF.
 
Back
Top Bottom