Gavana BoT: Baada ya Arusha sasa ni Dar, hakuna haja ya kuwa na Bureau de change zaidi ya 100

tunasubiri watalii watuletee midolaaa.na zile za misaada na mikopo.
TUNA CHA KUTULETEA DOLA?
 
Aliishia kudhalilishwa na mwanasiasa heri angebaki nchi za watu atumie taaluma yake huku siasa kwanza
Alikuwepo mjiolojia aliyebobea kwa kiwango cha kimataifa Prof Muhongo, unamkumbuka? Hebu tukumbushe mlimfanyaje vile??
 
Tatizo la Benki kwenye kubadili fedha za kigeni lipo hivi ukiwa na Dola wao watanunua dola yako kwa $1 = 2234 ila ukiwa na shillingi unataka dola wao watakuuzia $1= 2350 sasa mfanyabiashara gani atakubali huo ujinga wakati huo ukienda kwenye bureau de change ukitaka dola watakuuzia $ 1 = 2320 na ukiwa nazo dola wao watakuubadilishia kwa 2300 sasa nani mjinga akabadili fedha benki kwenye rates ndogo
 
Isitoshe ni serikali ya jamhuri ya muungano ndio iliyotoa Leseni kwa hawa wadau wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni.
cha ajabu sasa na kodi yao wanaitaka
wakati bosi wake akihangaika na vitambulisho ili aongeze mapato yeye yupo bize kushusha nyanja za ukusanyaji kodi cha ajabu bosi wake nalo hajalitambua
 
Huyu Gavana ni wa ajabu kabisa, kupunguza Bureau de Change haiwezi kuliongezea Taifa fedha za kigeni wala kuimarisha uchumi kwa kuongeza uzalishaji ,kuuza bidhaa /mazao nje ya nchi au nguvu ya shilingi kulingana na dola, euro. Bureau de Change kazi yao ni kutoa huduma kwa customers.
Acha ushabiki maandazi jielemishe kwanza kabla ya kucomment
 
Huyu Gavana ni wa ajabu kabisa, kupunguza Bureau de Change haiwezi kuliongezea Taifa fedha za kigeni wala kuimarisha uchumi kwa kuongeza uzalishaji ,kuuza bidhaa /mazao nje ya nchi au nguvu ya shilingi kulingana na dola, euro. Bureau de Change kazi yao ni kutoa huduma kwa customers.
Wewe somo ulilo faulu ni stadi za kazi leo unataka kubisha na gavana kwanini usiende kubuni picha nzuri ukachora ukapata pesa siyo vizur kubishana na wakubwa zako
 
Huyu Gavana ni wa ajabu kabisa, kupunguza Bureau de Change haiwezi kuliongezea Taifa fedha za kigeni wala kuimarisha uchumi kwa kuongeza uzalishaji ,kuuza bidhaa /mazao nje ya nchi au nguvu ya shilingi kulingana na dola, euro. Bureau de Change kazi yao ni kutoa huduma kwa customers.
waache wajidanganye
 
Hata iweje haitakaa itokee ukafahamu mambo ya uchumi kuliko gavana wa bank.wewe jikite kwenye utalaam wako na stadi nyingine mambo ya uchumi waachie wenyewe.wakati mwingine Sio lazima kuongea unaweza kukaa kimya
gavana huyu? yeye anajua mambo ya uchumi zaid ya tax law?.......


mbona mnanyenyekea hata wajinga?
 
Dr. Modestus Kipilimba anasema teknolojia ndiyo jibu ktk karne hii ya ufanyaji kazi. Mfano masuala haya ya kufunga Bureau de Change ziwe chache ili kupata taarifa sahihi, mbinu hii imepitwa na wakati. Ikiwa M -PESA, LUKU za umeme wameweza kutumia teknolojia kufikia wateja sehemu zote saa 14 kwa siku, Benki Kuu vipi inashindwa.

Teknolojia ingetumika ktk sekta ya kifedha ili kuratibu, kufuatilia na kuhakikisha taarifa sahihi zinaifikia BOT kwa manufaa ya taifa toka maduka haya ya fedha na kuzingatia kuwa wateja wa bureau wapate huduma bora kila kona ya miji kwa masaa mengi.

Enabling role of technology in building successful governance, risk management, and compliance programs.

The MetricStream GRC Solution has helped us automate our entire audit process from planning, implementation, follow-ups and production of reports
 
Arusha kulikuwa na maduka 37 ya kubadilishia fedha ambayo hayana leseni wala kutambulika, leo yamefungwa halafu kuna watu wanalalamika hivi ni nani aliyewaroga?
Hao ni vijana wa ufipa. Kila kitu wao wanajua zaidi. Kubishana ndio jadi yao...hawana hoja bali wana vioja.
 
Back
Top Bottom