Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Kuna maswali mengi mimi kama mtanzania nimekuwa nikijiuliza mazingira tata ya kifo, na kuzikwa kwa gavana wa bot, daud ballali. Leo gazeti la fahamu limenitegulia kitendawili kuwa ballali hajafa.
Najiuliza ni kwa nini serikali imepokea taarifa ya kifo cha ballali bila kufuatilia hospitali aliyokuwa anatibiwa huko marekani, mahali ulipofanyika msiba, na sehemu alipozikwa. Kama hilo ni gumu, watuonyeshe walau picha za mazishi.
Kama suala hili lina ukweli serikali ijiandae kuvuna aibu asubuhi.
Wadau wa jf, siri hii ina maanisha niiiini?
Najiuliza ni kwa nini serikali imepokea taarifa ya kifo cha ballali bila kufuatilia hospitali aliyokuwa anatibiwa huko marekani, mahali ulipofanyika msiba, na sehemu alipozikwa. Kama hilo ni gumu, watuonyeshe walau picha za mazishi.
Kama suala hili lina ukweli serikali ijiandae kuvuna aibu asubuhi.
Wadau wa jf, siri hii ina maanisha niiiini?