Waafrica wengi ni wapumbavu sana,yaani wanaiba bila aibu,hebu angalia Mobutu na Abacha waliiba billions of dollars za wananchi wao lakini waliishia wapi? nina uhakika hao wezi wamejaa wengi sana TZ...siamini mpaka leo jengo la BOT limechukua zaidi ya dola milioni 400,yaani ni aibu tupu!