Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Unajua kuna wakati mtu unajiuliza juu ya uwezo wa kufikiri wa baadhi ya hawa waheshiwa wetu Wabunge. Mfano ni huyu Mbunge wa Kitope upande wa Visiwani, Makame Mshimba Mbarouk (CCM), ambaye amedai sababu mojawapo ya kutoutaka muungano ni kwamba Zanzibar haijafaidikia na kuwapo kwa gas upande wa bara.
Suala la kujiuliza ni kwamba, ikiwa sehemu kubwa ya hii gas inazalisha umeme ambao unapelekwa Zanzibar, ambako kwa muda mrefu wamekuwa hata hawaulipii huo umeme, ni nani anayefaidika zaidi na hiyo gas kati ya bara na Zanzibar?
Pia ni katika njia zipi zaidi ya umeme ambazo bara wanafaidika zaidi na gas ya Songo Songo kuliko Zanzibar?
Najiuliza kama tatizo letu kubwa la muunguno wa Tanzania ni kuwa na wanasiasa wa aina ya kina Makame Mshimba Mbarouk.
Source: IPP Media
Suala la kujiuliza ni kwamba, ikiwa sehemu kubwa ya hii gas inazalisha umeme ambao unapelekwa Zanzibar, ambako kwa muda mrefu wamekuwa hata hawaulipii huo umeme, ni nani anayefaidika zaidi na hiyo gas kati ya bara na Zanzibar?
Pia ni katika njia zipi zaidi ya umeme ambazo bara wanafaidika zaidi na gas ya Songo Songo kuliko Zanzibar?
Najiuliza kama tatizo letu kubwa la muunguno wa Tanzania ni kuwa na wanasiasa wa aina ya kina Makame Mshimba Mbarouk.
Source: IPP Media