Kama kuna mtu anafahamu wapi naweza pata gari nzuri kwa ajili ya harusi nyeusi aina ya Noah new model Morogoro arusi mwezi wa tisa anifahamishe bajeti sh 150,000/= Nawakilisha.
kweli utoto tatizo,kwanini ujipe tabu yote hiyo. fanya lile ambalo unauwezo nalo. kwanza ukiangalia huyo mke mwenyewe jamaa zako ndio wamekuolea kwa kuwasumbua sana na visms vingi kuwahamasisha michango. Dogo furaha ya familia siyo gharama za harusi, furaha ni maishani hizo pesa acha kuzichezea. Ukiangalia ndugu zako wapo ambao maisha yao ni hohe hahe kiasi kwamba ukiwapa elfu hamsini tu wataona umewatoa ile mbaya sasa wewe unawaza kutafuta umaarufu kwa watu huku ndugu zako wakiendelea kusumbuka. ULIMBUKENI NI NONA.
.Da vijana mna kazi bila shaka we ni wale ambao toka asubuhi mpaka jioni mnashinda mitandaoni kupoteza muda. Maana shule umeenda ajira huna, hujifunzi new knowlege but kucomment upuuzi fanya kazi kijana frustuation zitakuuwa Kazi hakuna sasa.UTABAKI NA FITINA WENZAKO WASONGA MBELE.kweli utoto tatizo,kwanini ujipe tabu yote hiyo. fanya lile ambalo unauwezo nalo. kwanza ukiangalia huyo mke mwenyewe jamaa zako ndio wamekuolea kwa kuwasumbua sana na visms vingi kuwahamasisha michango. Dogo furaha ya familia siyo gharama za harusi, furaha ni maishani hizo pesa acha kuzichezea. Ukiangalia ndugu zako wapo ambao maisha yao ni hohe hahe kiasi kwamba ukiwapa elfu hamsini tu wataona umewatoa ile mbaya sasa wewe unawaza kutafuta umaarufu kwa watu huku ndugu zako wakiendelea kusumbuka. ULIMBUKENI NI NONA.
I think it is better to comment in any topic while you are in the frustuation free situations. Because I know in our country nowdays there are so many people who are educated enough but half of them are frustuated due to unavoidable circumstances. Which I think we need more psychologist to councel them concerning how to handle life after school.Elimu siyo maisha vijana fanyeni kazi hata za kujiunga vikundi mtakaa kupika majungu mtandaoni na umri unaenda at the end of the day unakuwa tegemezi kwa jamii bora tungesomesha mawe tungejengea kuliko wewe unaenda shule point unazoccoment ni sawa na kijana wa kule sitimbi ambae hajaona hata darasa moja.NAWAKILISHA.HaMnuki KIkwapa? nilikodisha gari langu kwa maharusi, ikarudi gari nzima inanuka kikwapa, ikabidi lisitumike wiki nzima, tumeacha milango na madirisha wazi na kutumia njia nyingine za kutolea harufu. Laki mbili niliziona chungu. Sijui walidinyana kwenye gari wakaacha harufu ya kikwapa kilichokubuhu.
kweli utoto tatizo,kwanini ujipe tabu yote hiyo. fanya lile ambalo unauwezo nalo. kwanza ukiangalia huyo mke mwenyewe jamaa zako ndio wamekuolea kwa kuwasumbua sana na visms vingi kuwahamasisha michango. Dogo furaha ya familia siyo gharama za harusi, furaha ni maishani hizo pesa acha kuzichezea. Ukiangalia ndugu zako wapo ambao maisha yao ni hohe hahe kiasi kwamba ukiwapa elfu hamsini tu wataona umewatoa ile mbaya sasa wewe unawaza kutafuta umaarufu kwa watu huku ndugu zako wakiendelea kusumbuka. ULIMBUKENI NI NONA.
I think it is better to comment in any topic while you are in the frustuation free situations. Because I know in our country nowdays there are so many people who are educated enough but half of them are frustuated due to unavoidable circumstances. Which I think we need more psychologist to councel them concerning how to handle life after school.Elimu siyo maisha vijana fanyeni kazi hata za kujiunga vikundi mtakaa kupika majungu mtandaoni na umri unaenda at the end of the day unakuwa tegemezi kwa jamii bora tungesomesha mawe tungejengea kuliko wewe unaenda shule point unazoccoment ni sawa na kijana wa kule sitimbi ambae hajaona hata darasa moja.NAWAKILISHA.
kweli utoto tatizo,kwanini ujipe tabu yote hiyo. fanya lile ambalo unauwezo nalo. kwanza ukiangalia huyo mke mwenyewe jamaa zako ndio wamekuolea kwa kuwasumbua sana na visms vingi kuwahamasisha michango. Dogo furaha ya familia siyo gharama za harusi, furaha ni maishani hizo pesa acha kuzichezea. Ukiangalia ndugu zako wapo ambao maisha yao ni hohe hahe kiasi kwamba ukiwapa elfu hamsini tu wataona umewatoa ile mbaya sasa wewe unawaza kutafuta umaarufu kwa watu huku ndugu zako wakiendelea kusumbuka. ULIMBUKENI NI NONA.
acha kupangia watu maisha yao .... big shame
Ni mara chache mno mtu unaweza ukasema ukweli halafu pogo akaukubali moja kwa moja. Ipo siku maneno niliyoandika hapo utayaelewa vizuri sana. Dogo wapo wengi sana tunawaona wanafanya harusi za gharama sana kisha after one month anaanza kukopesha pesa kwa washikaji zake. na wapo waliojiona wajanja kwa kuwasumbua washikaji zao kuwachangisha michango na walipoona mamilioni yametimia ya kutosha wakaahirisha tar ya harusi na baada ya masiku wakasikika eti harusi wamehamishia mikoani, kwani anajua mikoani gharama zitakuwa kiduchu na pesa zingine ataanzia maisha. kama uwezo wa kuona na kuelewa hauna basi sikiliza unayofundishwa.