Gari mpya ya mzee Mengi kali kutoka Ughaibuni

Gari mpya ya mzee Mengi kali kutoka Ughaibuni

excel

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
22,434
Reaction score
17,862
Habari zilizoko chini ya kapeti zinasema kuwa mzee mengi yuko mbioni kuingiza hii mashine kutoka ughaibuni.

Habari pia zinasema huo ni ujumbe mzito kwa Bakhresa nae aweze kuendeshwa gari kama hii ya mengi, Sio kila siku kuendeshwa na kigari kimoja tu cha bullet proof.

Una maoni gani wewe ailete au vipi.





10391394_871680349509993_3191283821281731998_n.jpg

Gari yenyewe ni hiyo nyeupe iliyoko nyuma! Sio gharama sana.... :biggrin1:
 
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mzee kaamua kuwatunuku mapacha na mama kitu cha kwenda market. Juzi kati mke wa Slilaaaha akawa anasema mumewe eti ni baba. Ina mana hajaoa ???? Jakuilini itabidi amuite babu wa wanae au nae kawekewa pingamizi aitishe vyombo vyake atangaze vita kama kawaida yake.
 
Back
Top Bottom