Gari linauzwa bei 11000000

Gari linauzwa bei 11000000

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Jamani nauza gari langu aina ya landcruiser vx v8 amazon limetembea mwaka mmoja lina km 92375 sh 11000000 nataka kubadilisha fashion, mwenye kuhitaji anipigie 06844247989 gari ipo mwanza, nimeshinda kuweka picha sina utaalam na mambo ya computer kama nitapata wa kunisaidia nitaweka.
 
Jamani nauza gari langu aina ya landcruiser vx v8 amazon limetembea mwaka mmoja lina km 92375 sh 11000000 nataka kubadilisha fashion, mwenye kuhitaji anipigie 06844247989 gari ipo mwanza, nimeshinda kuweka picha sina utaalam na mambo ya computer kama nitapata wa kunisaidia nitaweka.

L/C V8 amazon kwa 11m!!!!!! Hii itakuwa ya majanga kabisa!!!!! Kama si kifaa cha mamilion kibovu basi itakuwa ina issue hii gari. Au unataka kusema 110m mkuu!!!?? Tuondoe wasiwasi!!! Ni ya mwaka gani?? Bei hiyo hata Rav4 ya 2000 hupati.
 
Yaani Landcruiser Amazon, less than 100k mileages for only 11mln?!!! Then sijuipicha huwezi weka kwa kukosa utalaam wa computer! Mh, is this a coincidence or there is something needs not being said!

Info mkuu, info, weka wazi bana!! Otherwize unataka tununue gari tusoijua!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Okay!! Ni kama hii? Ipo namna hapa, si bure.
i019827.jpg
 
L/C V8 amazon kwa 11m!!!!!! Hii itakuwa ya majanga kabisa!!!!! Kama si kifaa cha mamilion kibovu basi itakuwa ina issue hii gari. Au unataka kusema 110m mkuu!!!?? Tuondoe wasiwasi!!! Ni ya mwaka gani?? Bei hiyo hata Rav4 ya 2000 hupati.

Imewekwa engine ya VW bettle.
...labda.
 
Imewekwa engine ya VW bettle.
...labda.

Kabisa mkuu tena vile vibito old model kabisa kabla sijazaliwa. Bodi yenyewe tu ni mamilion ya pesa!!! Imagine ukipeleka kwa chinja chinja wakiweka milango yote mitano sokoni, bado shoo, taa tu zenywe show, chasis na mengine bei ni kiasi gani!!! Acheni utani kabisa!!!
 
Okay!! Ni kama hii? Ipo namna hapa, si bure.
i019827.jpg

Mkuu SMU hata mimi nilipigwa na butwaa!!!! Ndiyo yale mambo ya kupigwa sasa!!! Mara weka pesa benki, mara MPESA!!! Zilshapitwa na wakati!!!! Asubiri wasukuma wauze pamba!!! Wawadanganye!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom