Gari Latumbukia Baharini Dar

Gari Latumbukia Baharini Dar

kufanya kazi bila kufuata kanuni za usalama kwa kufahamu ama kutokufahamu mara nyingi tunatumbikia kwenye matatizo ambayo baadae tunajifariji eti ni amri ya Mungu wakati ukweli tunaujuwa !!!!!:juggle:
 
Kwa hiyo marehemu aliyefariki ni konda peke yake? JITI.
 
Wakiambiwa wafuate safety procedures wanaona wanasumbuliwa. Hairuhusiwi kupaki gari kwenye mzani huku inaunguruma na dereva anashuka! Na wheelchockers ndo msamiati kwao. Uzembe unatumaliza watz.


naunga mkono hoja
 
Kumbe pale baharini Mbizi inapigika kiulaini tu?
Kama gari limeweza, watu watashindwa vipi?
Lile gari liwe chachu kwa wanakigamboni kuweza kupiga mbizi.
mia
 
Huyu msaidizi si ndiye alipaswa kutoka kwenye kufanya clearence inayohitajika hapo kwenye mizani! Kwa nini alishuka dereva huko gari ikiwa on?

Hawa jamaa SSB wanapiga kazi mwanzo mwisho wanaunganisha meli mpaka 5 wanachoka ile mbaya usikute mida hiyo alikuwa anaendesha Tingo dereva amelala. mia
 
Huyu msaidizi si ndiye alipaswa kutoka kwenye kufanya clearence inayohitajika hapo kwenye mizani! Kwa nini alishuka dereva huko gari ikiwa on?
Hivi wapi iliposema gari liliachwa linawaka? By the way, utingo hajui lolote kuhusu procedures za bandari za kupitisha lorry na uzito etc. etc. dereva ndio yuko responsible, utingo atashukaje? Mia.
mi mwenyewe nilikuwa najiuliza, hivi kumbe tunaimport ngano??
Ndio hapo sasa, tuna import ngano toka wapi? Anyhow, hii ajali inatisha, sijui kama tutapata a detailed account of what really happened. Mia.
 
Asante Black Rose, mie traffic mtu wangu. Na nikitoka kazini nna kagereji bubu mtaani, gari ya mteja ikitoroka ni soo,lol
King'asti nakuzimia ulivyo sharp.
Haya yote unayajulia wapi mtu wangu?
Pamoja sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom