Chakwale
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 1,068
- 1,542
Majibu Mujaraabu kabisa kwake USSR..majibu karibu ya uzi wote yamemkaba koo kwa Ujinga wake..natamani ushirikiano huu wa kukosoa penye uovu/pasipo haki/penye upotoshwaji/ uendelee hivi hivi hata ktk mambo yahusuyo Udini,Siasa na Ukabila/Ukanda..kwa bahati mbaya sana ushirikiano huu wa kusimamia haki huwezi kuukuta or mara chache sana si katika kiwango hiki kilichooneshwa kwenye uzi huu..utakuta mtu kapost Ujinga wa wazi kabisa lakini sababu kazungumzia Dini Yangu,kazungumzia Chama Changu,kazungumzia Kabila langu utakuta mtu anasupport ujinga,matokeo yake sasa Mindset kama hizi zinakomaa hatimae kupelekea kuwa na akili kama za bwana USSR..Watanzania tujitahidi hivyo vitu vitatu visitutawale tukawa watumwa navyo ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app