Gari la kukodi Mbeya

Gari la kukodi Mbeya

iCode

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2013
Posts
770
Reaction score
459
Wakuu amani na iwe kwenu.

Naomba kupewa connection ya gari la kukodi mbeya kwa siku mbili au zaidi kwa mizunguko ya hapo mjini. Pia kuna uwezekano wa kufanya safari za nje ya mji kidogo. Gari liwe katika hali nzuri na budget iwe nzuri pia. Gari linahitajika kuanzia leo.

Natanguliza Shukrani.
 
Back
Top Bottom