Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,145
- 13,216
Hili silo Gari takataka hili ni gari la Takataka linazoa taka
Ukilita Taka haliwezi kuzoa Takataka mkuu upo pamoja na mimi?
Maana ya taka ni kitu amabacho kahifai mahali fulani lakini kinaweza kufaa mahali pengine mfano karatasi chafu unaweza kuitumia kukolezea moto wa mkaa........n.k takataka ni kwamba haifai tena kwa matumizi......kwa kuwa gari hili kwa jinsi lilivyo bado linatumika kwa hiyo ni taka................
Chukua na Hii...............Dont throw dirty water before you get the fresh one.......unaweza kuyachambia