Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Hapo kwenye red mkuu siyo kweli. Toyota Cami ni sawa na Daihatsu Terios. Walichofanya ni kuondoa tu nembo ya Daihatsu na kuweka nembo ya Toyota. Kwahiyo spare zake haziingiliani kabisa na Toyota zingine and they are expensive japo ni imara sana ukinunua unasahau.
Sijasema zinaingiliana na zingine.
Chaser yenyewe haiivi na Mark 2 wala Cresta, sembuse Cami.
Nlichosema ile tu kua Toyota ni advantage kwenye upatikanaji wa spare.
Na ni kweli zinadumu so nafuu,
kwamba waweza kununua spare ya laki 1 ukakaa nayo miaka miwili, ni rahisi kuliko ya Alfu 50 ukae nayo miezi 8.
Otherwise unapokosesha moja, patisha mengine basi nijue nina maksi ngapi.