willpower
JF-Expert Member
- Dec 3, 2019
- 404
- 2,272
Miaka kadhaa nyuma wakati Posta ipo kwenye ubora wake. Wakati huo migahawa maarufu ni Steers opposite na British Council, Meals Cafe na Food World mtaa wa Azikiwe.
Maisha yana mengi sana. Wenye magari (hata ya ofisi) walitutesa sana miaka ya katikati ya 2000).
Na kufikia leo bado wanawake hawajayazoea magari. Kama una hela hakikisha unamnunulia mkeo gari.
Maisha yana mengi sana. Wenye magari (hata ya ofisi) walitutesa sana miaka ya katikati ya 2000).
Na kufikia leo bado wanawake hawajayazoea magari. Kama una hela hakikisha unamnunulia mkeo gari.