GARI AUTOMATIC KUZIMA GHAFRA IKIWA KWENYE MSELELEKO

GARI AUTOMATIC KUZIMA GHAFRA IKIWA KWENYE MSELELEKO

iamriq_arthur

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2021
Posts
452
Reaction score
1,131
Kwanini gari ndogo automatic ikizima ghafra ikiwa kwenye mseleleko break zinaishamo ukikanyaga hazikamati nifanye nini ili gari lisimame linaookua kwenye mseleleko?
 
Kuzima ikiwa kwenye mwendo kubwa ni shida ya fuel pump, ukiwasha itawaka lakini Haina acceleration.
Sababu ingine kuzima ni loose connection battery hivyo inapohitaji moto mwingi Kwa pamoja (hasa unapowasha taa kubwa, etc) hupelekea gari kuzima.

Break kufanya okuwepo gari ikiwa imezima ni Kwa sababu mfumo wa break ni unatumia umeme/hydrolic hivyo kuzima Kwa gari hufanya mfumo wa break usifanye KAZI vizuri.
 
Kama ukipata au umeshapata ufumbuzi wa tatizo hili ni vizuri ukarudisha mrejesho kwa sababu tatizo hili liko na watu wengi pamoja na mimi. Namba yangu ni 0784333470 ukinipigia itakuwa ni vyema zaidi.
 
Kwanini gari ndogo automatic ikizima ghafra ikiwa kwenye mseleleko break zinaishamo ukikanyaga hazikamati nifanye nini ili gari lisimame linaookua kwenye mseleleko?
Tumia handbrake iwapo gari imepoteza mawasiliano ya kimfumo
 
Kwanini gari ndogo automatic ikizima ghafra ikiwa kwenye mseleleko break zinaishamo ukikanyaga hazikamati nifanye nini ili gari lisimame linaookua kwenye mseleleko?
Hata bettrey ikikata chaji gari ikiwa kwenye mwendo haisimami sio brake sio vioo kushuka sio lolote hii ishanitokea unachotakiwa kufanya vuta handbrake kwa taratibu sio vuu itakupindua vuta handbrake taratibu
 
Kwanini gari ndogo automatic ikizima ghafra ikiwa kwenye mseleleko break zinaishamo ukikanyaga hazikamati nifanye nini ili gari lisimame linaookua kwenye mseleleko?
Tumia hand break ili uweze simama kuna uwezekano kuna loose connection kwenye betri.
 
Wajuzi msaada huku
Gari ikizima kwenye mwendo ni lazima brake zifeli mna gari ipo off sasa hpa unachotakiwa kusimamia ni hand brake ndo suluhisho la mwisho na gari itasimama vzr tu

Ishawahi kunitokea gari kuzima(manual) ila tatizo lilikua betri nikasimamia handbrake
 
Back
Top Bottom