hahaha always done
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,329
- 2,249
Hongera sana, sisi wanaume tunajua magari mengi ila Huwa hatukumbuki watoto wetu walizaliwa lini!😂😂Mimi ni mama wa watoto wawili
Hongera sana, sisi wanaume tunajua magari mengi ila Huwa hatukumbuki watoto wetu walizaliwa lini!😂😂Mimi ni mama wa watoto wawili
Mkuu hii Mbona niTerios kidddd
Black 🖤
Classic gold rims
Location DAR ES SALAAM
0710808418
View attachment 3399411
View attachment 3399412
Chukua 48M tu kwaki
Ishatoka kakaCami labda uniuzie mil 5 nikasombee kuku
Imeshatoka mkuuChukua 4
Makosa ya kiinjinia kaka gari ni Terios kidMkuu hii Mbona ni
DAIHATSU TERIOS KID?
😂😂 pamoja kaka🙌🏾🙌🏾Hongera sana, sisi wanaume tunajua magari mengi ila Huwa hatukumbuki watoto wetu walizaliwa lini!😂😂
Cami labda uniuzie mil 5 nikasombe
Unauza kuku broCami labda uniuzie mil 5 nikasombee kuku
180 Mbona nyingi ivyoIla bei uloweka ya 180mil ni kubwa sana..
Bei?Terios kidddd
Black 🖤
Classic gold rims
Location DAR ES SALAAM
0710808418
View attachment 3399411
View attachment 3399412
😀😀😀😀Duh! Kumbe kuna Toyota Rush ya muundo huu! Binafsi ndiyo mara yangu ya kwanza kuiona, tena kwenye picha.
😂😂 Kaka unatumia gari ganiKatoroli kalikochangamka, halafu huwa wanapiga honi hao barabarani mpaka basi.
Baskeli wala sina tabu na mtu😂😂 Kaka unatumia gari gani