Kwa wale wanaotaka kujirusha na vitotoz kuna Maisha Club, hivi sasa wamefungua tena Malaika House, kuna program inaitwa Dar Alive - very interesting. Alafu nasikia a revamped club is opening soon!
sasa integemea GT we ni mtu wa kujirusha au unataka kufukuza inzi tu na mamaa! Kwikwikwi!