Game on - CCM kukata rufaa ushindi wa Lema

Game on - CCM kukata rufaa ushindi wa Lema

Status
Not open for further replies.
wat was to be done had to be done...kamanda xxa vaa gwanda, nyanyua kidevu na pambana kwa ajili ya pipoz wako.
 
Jamani, Mahakama ya rufaa ndo ya mwisho. Labda aende mahakama kama aliyokuwa akisemea Joyce Banda ambayo TZ si mwanachama! Hilo tu!
Rufaa ipo tena hapo. sheria inaruhusu. Idadi ya majaji ndio itaongezeka kuwa zaidi ya watatu wa sasa waliotoa uamuzi. Tusubiri
 
Hakunaga rufaa juu ya rufaa na mahakama ya rufaa ndiyo ya mwisho kimaamuzi.
 
iko iv.hata. wakishinda baada ya kukata rufaa.Kuna ukweli kwamba..Lema anakubalika.kodi itateketea pale arusha mjini.alishinda uchaguzi wa 2010. sasa hata chadema waweke jiwe ,wale jamaa zangu pande zile watachagua jiwe..pale ni pagumu.yaishe.wasitukamue hio ela ya uchaguzi afu wakapata aibu ya mwaka.hawalioni hili?
 
Imekula kwao, hicho ni kidali pooo wakalale nacho

  • :target:
 
Rais kaingilia maamuzi ya mahakama ya kumwachia lema ubunge wake
 
Rufaa ipo tena hapo. sheria inaruhusu. Idadi ya majaji ndio itaongezeka kuwa zaidi ya watatu wa sasa waliotoa uamuzi. Tusubiri

Siyo rufaa ni mapitio au marejeo ya hukumu i.e. revision or review, mahakama ya rufani ndo ya mwisho katika ukataji wa rufaa
 
kwa hukumu ipi? ya leo rufaa utanzaia wapi? maana majaji wamesema wapiga kura hawewezi kupinga matokeo.... sasa kunakesi tena?
 
"Ninawasiwasi na elimu ya Mughwai" - by Tundu Lissu
 
Nani atasikiliza hiyo rufaa itakayokatwa dhidi ya kesi iliyohukumiwa na mahakama ya Rufaa presided by Chief Justice?
 
Aliihujumu sana Chadema na Lema sasa ameumbuka namshauri ajipime kama bado nafasi aliyonayo inamfaa Chadema. Siwapendi wasaliti basi tuuuuu.
 
Rufaa ipo tena hapo. sheria inaruhusu. Idadi ya majaji ndio itaongezeka kuwa zaidi ya watatu wa sasa waliotoa uamuzi. Tusubiri

Inaitwa Reviewal na sio Appeal. Yes ni full bench of 6 judges who could sit to review the ruling.

CCM are only interested in seeing the Arusha people are denied of nothing but Lema. Na pia kimsingi sio Batilda (aliyekuwa mgombea ubunge) aliyefungua kesi ya msingi bali "vibaraka" waitwao wapiga kura. Sijui CCM wanajifichaje kwenye kivuli chao coz they blow cold and hot equally and simultenously!
 
I think both Pinda and Lyimo (mayor) must be very terrified of this returning of Lema.

Lema is a force to be reckon with in Arusha. Never seen so happiest people for a long while but tell ya these people are genuinely jubilant.

Wish I could be around to witness the arrival of Lema from Dar, really. Of coz we've been warned of the traffic jam to/fro KIA!
 
Kama hii habari ni ya kweli, basi tuna tatizo sana. Kuna wakati inabidi maamuzi yafanyike kwa maslahi ya nchi. Hatuwezi kuendelea na kesi za changuzi kwa miaka! Nchi hii tuna matatizo mengi mno, kuna maeneo sasa hivi watu wanakufa njaa mfano Ngorongoro (Gazeti la Raia Mwema week hii), lakini tunapoteza hela kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu!

Na jambo la kusikitisha kwenye hii kesi ya Lema, mtu ambaye inasemekana ndiye alikashfiwa hajaleta mashtka. Batilta yuko Nairobi anaendelea na shughuli zake, huku nyumbani tunapoteza muda, hela kwa madai kuwa kakashfiwa. Mbona yeye kakaa kimya?
 
nadhani ccm hawana sababu ya kukata rufaa sababu jaji wa kwanza hakutumia ushahidi bali chuki kwa lema. Aina ya majaji kama yule ni msiba kwa taifa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom