jamani hii ni rufaa alikatiwa ccm sasa wataenda mahakama gani, labda magogoni kwa jk... Kwani na penyewe si nasikia kuna court??????
Mchezo kama wa Dowans na TANESCO,akishinda huyu kesho mwenzake anakata rufaa!
Hivi kirusi chetu Zitto kimetoa pongezi kwenye fB au Twitter? Naona Mh. Mbowe, Dr. Slaa, Msigwa wamerusha.
Mchezo kama wa Dowans na TANESCO,akishinda huyu kesho mwenzake anakata rufaa!
I
Ila kwenye hiyo rufaa juu ya rufaa inafunguliwa mahakama ya East Africa au the Hague?
Ha ha haaaaaa, utakuwa umbumbumbu wa sheria uliopitiliza!