Mti mkavu01
Member
- Apr 25, 2020
- 9
- 11
Wakubwa Habari...
Naomba msaada kwenye hili, Sim yangu SAMSUNG GALAXY NOTE 10 PLUS imekuwa inanisumbua kila nikichomeka charge inaandika Battery temperature is too low na haipeleki charge
Nifanye nini ili niondoe tatizo hili
Chief-Mkwawa
Naomba msaada kwenye hili, Sim yangu SAMSUNG GALAXY NOTE 10 PLUS imekuwa inanisumbua kila nikichomeka charge inaandika Battery temperature is too low na haipeleki charge
Nifanye nini ili niondoe tatizo hili
Chief-Mkwawa
