David Djumbe
Member
- Oct 14, 2013
- 42
- 36
Kupambana na mfumo mbovu wa utawala ni sawa na kuamua kupita kwenye pori lenye wanyama wakali kama simba ukiwa na kisu tu, utaitwa majina mengi mabaya, kama vile GAIDI, HAINI nk lakini ukishapita tu majina hayo hubadilika na na kuwa sifa kabambe kama SHUJAA, MKOMBOZI nk, Safari hii ni ndefu, tukifa njiani tutakuwa tumekufa kifo kizuri, tukipita tutakuwa mashujaa....kukaa kimya ni bora usingezaliwa, maana hata aliyekuzaa aliumia bure...
Kama unahisi kuna kitu hakiendi sawa kwenye jamii yako, usikae kimya chukua hatua bila kujali hatua hiyo inakuhatarisha vipi, usiishi kwa mazoea..
Kama unahisi kuna kitu hakiendi sawa kwenye jamii yako, usikae kimya chukua hatua bila kujali hatua hiyo inakuhatarisha vipi, usiishi kwa mazoea..