Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,716
- 45,115
Haya pimeni wenyewe huyo babu wakati yupo kijana na wenzake vijana walikuwa hawa kikosini Simba...
Sasa mbona ana muonekano kama wa Aucho! Bado mbichi kabisa!Saizi Kuna Striker aliyeisikitisha Africa,Habibu KiyomboView attachment 2285624
Bony Siasa imemshinda amekuwa mchambuzi saizi,maana kila swala la mpira anadakiaKwa hiyo Samatta naye kumbe ni babu! Na kama akina Yondani, Kaseja, Nyoso na Ramadhani Chombo wanaendelea kucheza! Shida iko wapi kwa huyo Bigirimana!
Hata kama ni mkubwa ila exposure na experience yake tu Kwa ligi yetu ni kubwa sanaSasa mbona ana muonekano kama wa Aucho! Bado mbichi kabisa!
Yaani uwezi kumlinganisha hata na Meddie Kagere, au Joash Onyango!
This is another Babu Kaju! Just wait and see.Ngoja tuone uwanjani..
Yondani, Kaseja, Chombo wanacheza vilabu vinavyoshiriki kimataifa? 😂😂Kwa hiyo Samatta naye kumbe ni babu! Na kama akina Yondani, Kaseja, Nyoso na Ramadhani Chombo wanaendelea kucheza! Shida iko wapi kwa huyo Bigirimana!
Samatta ni babu kabisaaaKwa hiyo Samatta naye kumbe ni babu! Na kama akina Yondani, Kaseja, Nyoso na Ramadhani Chombo wanaendelea kucheza! Shida iko wapi kwa huyo Bigirimana!
Engineer Hersi anapaswa awe anamuamkia BigirimanaSaizi Kuna Striker aliyeisikitisha Africa,Habibu KiyomboView attachment 2285624
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.Haya pimeni wenyewe huyo babu wakati yupo kijana na wenzake vijana walikuwa hawa kikosini Simba...View attachment 2285620
Wala haina shida,hata kumbebea begi kabisa....... maisha ya kiafrica tunajuana inawezekana akawa 35+ ila kwa soka la Tz na Africa nzima hata 40+ unacheza tuEngineer Hersi anapaswa awe anamuamkia Bigirimana
Samatta kwa sasa ana miaka 28! Umri sawa kabisa na huyo Bigirimana wetu!Samatta ni babu kabisaaa
Si bora angeomba kazi hata ya upishi pale Newcastle kuliko kwenda kwenye timu ya ahadi?Saizi Kuna Striker aliyeisikitisha Africa,Habibu KiyomboView attachment 2285624
Siasa ni muendelezo wa kila sekunde aishiyo binadamu.Kwenye michezo tunaupima ukweli u-wapi!Bony Siasa imemshinda amekuwa mchambuzi saizi,maana kila swala la mpira anadakia
Mahangaiko tu ya simba kujifariji tu.Kwa hiyo Samatta naye kumbe ni babu! Na kama akina Yondani, Kaseja, Nyoso na Ramadhani Chombo wanaendelea kucheza! Shida iko wapi kwa huyo Bigirimana!
Ni kuhusu umri na mategemeo ya output.Hayo ya uwanjani uasubiriwe.Mahangaiko tu ya simba kujifariji tu.
Wasubirie mtanange wakae kwa kutulia