Gael Bigirimana wakati yupo Newcastle, Simba ilikuwa na kikosi hiki...

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,716
45,115
Haya pimeni wenyewe huyo babu wakati yupo kijana na wenzake vijana walikuwa hawa kikosini Simba...
54F50EE1-83A5-4BC6-AEF1-054FDFC07E25.jpeg
 
Haya pimeni wenyewe huyo babu wakati yupo kijana na wenzake vijana walikuwa hawa kikosini Simba...View attachment 2285620
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
 
Back
Top Bottom