Mkubwa wao alikuwa anawachagulia wanaume wa kullala nao, mbali na Ghadafi mwenyewe wapambe wa Ghadafi!!!!!!!!! Vile vile walitumika kuuwa watu wengi, mmoja wao alikuwa anashuhudia, professional killers!!!!!
Mtu atakayeweza kuwapata hawa wadada akawahoji na kuandika kitabu kuhusu wao atapata fedha ya kutosha maana wengi wanapenda kujua Gadafi alikuwa anawapataje na walikuwa wapi siku anauwawa
kilemba cha uyo mama kimeniacha hoi, huo mkato wa nyuma inanikumbusha nyumbani, bibiangu alikuwa anakiweka dizain hii, my friend anapendezaje mkulu, i hope this is not tz first lady!
Mkubwa wao alikuwa anawachagulia wanaume wa kullala nao, mbali na Ghadafi mwenyewe wapambe wa Ghadafi!!!!!!!!! Vile vile walitumika kuuwa watu wengi, mmoja wao alikuwa anashuhudia, professional killers!!!!!
Huyu mlinzi wa kike wa Col Ghadaf anaonekana yuko serious, ni mrembo na anaelewa anachokifanya. Swali lisilo na jibu, sijui ameolewa, ana watoto na kama yuko hai au naye alishauawa!!!