Mtu atakayeweza kuwapata hawa wadada akawahoji na kuandika kitabu kuhusu wao atapata fedha ya kutosha maana wengi wanapenda kujua Gadafi alikuwa anawapataje na walikuwa wapi siku anauwawa
That's why I don't trust women... Ka walikuwa Askari kweli wangefight hadi tone la mwisho tena inaelekea hawa mademu ndo walisnitch where abouts za Ghadafi never trust those people wanawake ahaaaa ham a