Mleta uzi unashabikia nchi kuingia kwenye machafuko!!habari zingine ni nzuri kuzisikia na kuziona kwa jirani tu usiombe yakutokee!!
Mbona unaleta mambo ya unabii hapa!!! Lete facts zinazokufanya uamini hayo unayoyaandika.Ngoja nikuambie kitu!!! Hii nchi haitakuja kupigana na nchi yo yote ile!! Pili, wala hakutakuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe milele. HIVYO NDIVYO ILIVYO...haijalishi ni nani ni au atakuwa rais... Hakuna atakayewezea kuleta vita ndani ya hili taifa, hata kwenye ndoto hicho kitu hakiwezi kutokea. Nasema hivi...hakuna vita wala umwagaji damu utakaotokea ndani ya taifa hili kwa njia ya vita!!! HAITATOKEA KAMWE...haka ukiwa ndiwe raisi... Mhutaweza kuleta vita.!!!.
Huo ni uhalisi siyo unabii!! Naongea kitu ninachokijua na kukifagamu kwa kina kabisa! Ni rahisi vita kutokea marekani na ulaya kuliko hapa. Hiyo ndiyo "facts" wala siyo uongo. Najua ninachoongea wala siyo unabii.Mbona unaleta mambo ya unabii hapa!!! Lete facts zinazokufanya uamini hayo unayoyaandika.
Hata alli bongo ondimba alisema hvyo hvyoNgoja nikuambie kitu!!! Hii nchi haitakuja kupigana na nchi yo yote ile!! Pili, wala hakutakuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe milele. HIVYO NDIVYO ILIVYO...haijalishi ni nani ni au atakuwa rais... Hakuna atakayewezea kuleta vita ndani ya hili taifa, hata kwenye ndoto hicho kitu hakiwezi kutokea. Nasema hivi...hakuna vita wala umwagaji damu utakaotokea ndani ya taifa hili kwa njia ya vita!!! HAITATOKEA KAMWE...haka ukiwa ndiwe raisi... Mhutaweza kuleta vita.!!!.
Hahaha...sawa!!!! Ngoja nisibishane na wewe... Maana hujui hata nilichoongea/nilichoandika kinamaanisha nini.Hata alli bongo ondimba alisema hvyo hvyo
Hapo wezi wa kura wamezidiana tu utalaamChadema mmeona? Hawa ndiyo Wanaume siyo ninyi mnatishia nyau kumbe hata uwezo wenyewe wa kuhamasisha hamna!
Eti Watanzania wamekaa wanasubiri fisadi lowasa atoe tamko wakinukishe, kumbe fiksi tupu na kura milioni 6 waliiba, watu wa IT wa chadema walihack Tume yetu ya Uchaguzi na kujiongezea kura!
Sasa Gaboni tofauti ya kura 5,594 tu kati ya aliyetangazwa mshindi na aliyeshindwa, lkn fisadi Lowasa anasema kwamba kaibiwa kura wakati tofauti yake na Magufuli ilikuwa ni kura milioni 2 karibia 20% ya kura, kama siyo ugonjwa wa akili ni nini?
Raisi Ali Bongo Ondimba anasema yeye ndiyo ameshinda wakati Upinzani wanamgomea!
Sidhani kama kuna muda wa mabishano hapa but usiongee vitu vingi mpaka ukaonekana wa kawaida maana sisi binadamu tumefungwa kujua hata kesho yetu tu,sasa wewe unayajua mpaka ya kesho ya nchi???kuna nchi hata upinzani tu hamna lakini yamewakuta mazito sana miaka hii ya karibuniHahaha...sawa!!!! Ngoja nisibishane na wewe... Maana hujui hata nilichoongea/nilichoandika kinamaanisha nini.
Milele daima uwezo huo hamna! So chapen kaz tu avheni kushikiwa akili!Mwambie magu huu moto hipo siku atauona.
Swissme
Ndio cdm wanachotakaNacheki Al-Jazeera hapa wanaonesha raia zimevamia shopping mall wamekomba karibia kila kitu,,, siasa za Africa zina safari ndefu sana
October mosi ni siku ya kupanda miti kitaifa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Raha sana kuishi Tanzaniaipo siku na sisi uvumilivu utatushinda
CDM KAENI CHONJO MTAKIONA CHA MTEMA KUNI OCTOBER MOSI
CHADEMA mmeona? Hawa ndiyo Wanaume siyo ninyi mnatishia nyau kumbe hata uwezo wenyewe wa kuhamasisha hamna!
Eti Watanzania wamekaa wanasubiri fisadi lowasa atoe tamko wakinukishe, kumbe fiksi tupu na kura milioni 6 waliiba, watu wa IT wa chadema walihack Tume yetu ya Uchaguzi na kujiongezea kura!
Sasa Gaboni tofauti ya kura 5,594 tu kati ya aliyetangazwa mshindi na aliyeshindwa, lkn fisadi Lowasa anasema kwamba kaibiwa kura wakati tofauti yake na Magufuli ilikuwa ni kura milioni 2 karibia 20% ya kura, kama siyo ugonjwa wa akili ni nini?
Raisi Ali Bongo Ondimba anasema yeye ndiyo ameshinda wakati Upinzani wanamgomea!
Naona unaongea kwa hisia sana ,unajiona Mungu,wakati urojo tu,unadhani kuna mtu anaombea hayo,hayo yanatokea sababu kuna wapuuzi kama weweNgoja nikuambie kitu!!! Hii nchi haitakuja kupigana na nchi yo yote ile!! Pili, wala hakutakuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe milele. HIVYO NDIVYO ILIVYO...haijalishi ni nani ni au atakuwa rais... Hakuna atakayewezea kuleta vita ndani ya hili taifa, hata kwenye ndoto hicho kitu hakiwezi kutokea. Nasema hivi...hakuna vita wala umwagaji damu utakaotokea ndani ya taifa hili kwa njia ya vita!!! HAITATOKEA KAMWE...haka ukiwa ndiwe raisi... Mhutaweza kuleta vita.!!!.
Kama machafuko ndio UANAUME, njoo uchukue uume wangu...CHADEMA mmeona? Hawa ndiyo Wanaume siyo ninyi mnatishia nyau kumbe hata uwezo wenyewe wa kuhamasisha hamna!
Eti Watanzania wamekaa wanasubiri fisadi lowasa atoe tamko wakinukishe, kumbe fiksi tupu na kura milioni 6 waliiba, watu wa IT wa chadema walihack Tume yetu ya Uchaguzi na kujiongezea kura!
Sasa Gaboni tofauti ya kura 5,594 tu kati ya aliyetangazwa mshindi na aliyeshindwa, lkn fisadi Lowasa anasema kwamba kaibiwa kura wakati tofauti yake na Magufuli ilikuwa ni kura milioni 2 karibia 20% ya kura, kama siyo ugonjwa wa akili ni nini?
Raisi Ali Bongo Ondimba anasema yeye ndiyo ameshinda wakati Upinzani wanamgomea!