Tatizo lake ni mikanda tu saa hz
Ikikatika ndo nitolee haipatikani hata
Mi ninayo naifavaa shingoni tu saa hv kama refaree
mkuu hizi saa ukizipata ORIGINAL mikanda itakatika baada ya miaka ya kutosha. Tatizo hizi ni clone. mikanda inakakamaa na kuvunjika. pia hazina features zote
Mi nahitaji mikanda unanisaidiaje hii saa yangu aisee
Nitashukuru sana
Hii hapa boss tafadhali niuzie mikanda bei yeyote ile kwa sababu bado naihitaji mkuu.
Boss, ulitaka tuone wrist watch au kitu cha iPad??:screwy:
Dongo hilo mdau ha ha haaaaaaa