Devil's Driver
Member
- Aug 14, 2013
- 64
- 20
akili,majina,tabia,hisia ,hulka huwa vinabaki constant...alafu chama ni variable. cdm ikipokea wote kutoka ccm eti ni mtaji ,sidhan kama itatoa picha nzuri. screening ifanyike ili kulinda heshma ya chama
Tunaweza kuudanganya umma kuwa chama kipo imara na kitashinda lakini ukweli tunaujua. Mambo si shwari. Tunajikaza kisabuni kwa kurubuni tu. Mchakato wa Dodoma umetujeruhi. Si Lowassa pekee asiyeridhika. Wapo wengi ingawa wenyewe wameamua kunyamaza.
Dodoma imetuacha vipande vipande kama kunde au kande. Dodoma hatujatoka wale. Hadi sasa,CCM imepoteza Wabunge na Madiwani kadhaa. Imepoteza focus na nafasi ya kula nanasi. Kujidai. CCM imefikia kutokwa povu la nguvu mbele ya waandishi. Ya jana ni tosha kuthibitisha.
Ingawa mapengo yatajazwa,lakiní si mwaka huu. Too late to do it now. Ninawajua makada waliojiapiza kupigia kura upinzani ili wapate amani. Walitamani upinzani uanzie chamani. Ukweli ni kwamba,CCM haiko tulivu wala kuwa na wavumilivu. Imejaa wenye nia ovu na wivu. Kumechafuka!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Ilibidi iwe ivyo ili tusikabidhi chama kwa wanamtandao wezi. Nahisi tayari umeshaona shetani amekimbialia mtaa wa pili.
Ilibidi iwe ivyo ili tusikabidhi chama kwa wanamtandao wezi. Nahisi tayari umeshaona shetani amekimbialia mtaa wa pili.
Wanamtandao waliotuwekea kiongozi upande wa pili ndio hao hao watakao tuwekea kiongozi upande wa tatu,hakuna jambo geni hapo!
Geni hakuna ila kuna jipya ambalo ni kuhamia kwa kubwa la maadui katika nyumba yenu. Hicho ni kitorondo jiulizeni katika nyumba yenu shetani kaingiaje?
Baada ya kuhama ndio unamuona ni adui?ccm jiandaeni kuwa kambi rasmi ya upinzani