Mungu mwema anajua mengi yajayo kuliko mapana ya fahamu za sisi wanadamu..Nyakati tulizonazo yatupasa kuishi maisha ya kumtumaini Mungu Mwenyezi kuliko Chama,watu,Mtu,Vitu,Pesa,Elimu..hakika laana nyingi juu yetu zitakwisha zikiwemo za umaskini,Ufukara,ujinga,maradhi,mahangaiko,ukosefu wa amani,rushwa,ukosefu wa haki...