Futuhi na ze komedi original wepi kiboko?
Wote hawana kitu, mambo yapo Mizengwe!!Futuhi na ze komedi original wepi kiboko?
Kabisa mkuu.........Na Ze Comendy ya EATV imeanza kushika kasi bana....KIWEWE na MASSAWE wanatisha mbaya!Wote hawana kitu, mambo yapo Mizengwe!!
Nilifikiri mimi tu nnayewahusudu Mizengwe kumbe tuko wengi,wale vjana wako talented aiseeWote hawana kitu, mambo yapo Mizengwe!!
kweli ndugu mizengwe ni nomaaa hakuna tz nzima wanapoteza ila watu hawajawasoma tuWote hawana kitu, mambo yapo Mizengwe!!