Futuhi mnaboa sana

Futuhi ilikuwa inaburudisha wakati wapo wale walioianzisha,lakini toka waache haiburudishi tena,kama unavyosema inaboa kweli!
 
Hapa matata,pale mmkwere huku "sumaku" bila kumsahau "bi kiroboto Jr" pemben Mkongo! Mizengwe ndo majembe.
 
mizengwe du mkongo yule b'shost ****** n.k wanaweza kazi.futuhi baada ya wale wa mwanzo hawa wapya pumba tupu.eatv massawe ni nouma...
 
du yule jamaa mchekeshaji mizengwe anaitwa jina sawa na kabila la kilanja mkuu sasa mod kanibania walai sikubariii,pisheniiii
 
mizengwe is the best.dakika 15 tu lakini vitu vyake ni noma.huyo sumaku vitu anavyoongea balaa halafu yupo serious.. Duh
 
Back
Top Bottom