Wakuu hili zoezi Kinyakyusa tunasema imbombo jilipa yaani 2015 usishangae CCM wakakosa kiti hata kimoja cha udiwan ARUSHA
Fedha za world bank zilizofichwa miaka yote Lema ameenda kuzifichua na sasa barabara nyingi Arusha ni lami mapato ta ndani yamedhibitiwa.
Hongereni CHADEMA.
Fedha za world bank zilizofichwa miaka yote Lema ameenda kuzifichua na sasa barabara nyingi Arusha ni lami mapato ta ndani yamedhibitiwa.
Hongereni CHADEMA.