Dah, hii thread inatisha sana. We do need Physicians ila kwa mtindo huu wa kuexchange cadaver kati ya Dar na Dodoma unatisha.
Nawaheshimu sana mnaosomea udaktari wa binadamu..... Binafsi hata kuangalia kidonda naogopa itakuwa kumpasua pasua mfu?
Mungu awatie nguvu katika hili dah.
Nawaheshimu sana mnaosomea udaktari wa binadamu..... Binafsi hata kuangalia kidonda naogopa itakuwa kumpasua pasua mfu?
Mungu awatie nguvu katika hili dah.