Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,931
- 10,482
Barua ya Wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Amiri Jeshi Mkuu, na Mwenyekiti wa CCM Taifa
Kwako, Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Amiri Jeshi Mkuu,
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa,
Mpendwa Kiongozi wetu,
Nakupa salamu za heshima na taadhima nikiwa na imani kubwa na uongozi wako imara. Kwa niaba ya Watanzania wote, napenda kuchukua fursa hii kuonyesha heshima yangu kwako na kuthamini juhudi zako zisizo na kifani katika kuleta maendeleo ya kiuchumi, kijamii, na kisiasa nchini. Nikifikiria mbele, ninashukuru kwa utekelezaji wa mipango ya kimkakati ambayo inaleta ustawi wa watu wetu.
Mheshimiwa Rais,
Katika barua hii ya wazi napenda kutoa wazo la kuwekeza katika kiwanda cha kuzalisha mabasi makubwa na daladala hapa nchini. Itakuwa vizuri kama kiwanda hicho kitazalisha mabasi ya aina tatu, ya kutumia gesi, umeme, na mafuta. Sekta ya usafiri nchini imekua kwa kasi kubwa sana, na tunao uwezo wa kuingiza mapato mengi kupitia uwekezaji huu. Kwa kuanzisha kiwanda cha mabasi, tutakuwa na fursa ya kufikia soko kubwa na kuongeza mapato mengi sana kwenye serikali yetu.
Mheshimiwa Rais, naomba pia kama ikiwezekana, wawekezaji wanaoshiriki katika mradi wa mwendokasi, ambao ni mradi mkubwa wa usafiri wa mabasi kuliko yote nchini, tuwavute waweze kuwekeza pia katika uzalishaji wa mabasi makubwa na daladala. Huu ni uwekezaji utakaosaidia kukuza uchumi wetu na kuboresha huduma za usafiri kwa wananchi.
Naona mapato ya bure tena mengi sana kupitia uwekezaji huu. Hii ni fursa nzuri kwa taifa letu, na ninaamini itaongeza uchumi wa taifa na kuchangia katika ustawi wa jamii nzima.
Nashukuru kwa umakini wako katika kutekeleza mipango ya maendeleo ya nchi yetu. Hii ni hatua muhimu zaidi katika kuhakikisha kuwa Tanzania inafikia kiwango cha juu cha maendeleo katika sekta zote muhimu.
Wako katika Ujenzi wa Taifa,
+255687746471
Asante sana
Ndugu wasomaji wa hii barua ya wazi ya ombi kwa Rais Dr. Samia Suluhu, hii ni rejea ya viwanda alivyo zindua 2024:
Hiki ni kiwanda cha ndege:
Kwako, Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Amiri Jeshi Mkuu,
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa,
Mpendwa Kiongozi wetu,
Nakupa salamu za heshima na taadhima nikiwa na imani kubwa na uongozi wako imara. Kwa niaba ya Watanzania wote, napenda kuchukua fursa hii kuonyesha heshima yangu kwako na kuthamini juhudi zako zisizo na kifani katika kuleta maendeleo ya kiuchumi, kijamii, na kisiasa nchini. Nikifikiria mbele, ninashukuru kwa utekelezaji wa mipango ya kimkakati ambayo inaleta ustawi wa watu wetu.
Mheshimiwa Rais,
Katika barua hii ya wazi napenda kutoa wazo la kuwekeza katika kiwanda cha kuzalisha mabasi makubwa na daladala hapa nchini. Itakuwa vizuri kama kiwanda hicho kitazalisha mabasi ya aina tatu, ya kutumia gesi, umeme, na mafuta. Sekta ya usafiri nchini imekua kwa kasi kubwa sana, na tunao uwezo wa kuingiza mapato mengi kupitia uwekezaji huu. Kwa kuanzisha kiwanda cha mabasi, tutakuwa na fursa ya kufikia soko kubwa na kuongeza mapato mengi sana kwenye serikali yetu.
Mheshimiwa Rais, naomba pia kama ikiwezekana, wawekezaji wanaoshiriki katika mradi wa mwendokasi, ambao ni mradi mkubwa wa usafiri wa mabasi kuliko yote nchini, tuwavute waweze kuwekeza pia katika uzalishaji wa mabasi makubwa na daladala. Huu ni uwekezaji utakaosaidia kukuza uchumi wetu na kuboresha huduma za usafiri kwa wananchi.
Naona mapato ya bure tena mengi sana kupitia uwekezaji huu. Hii ni fursa nzuri kwa taifa letu, na ninaamini itaongeza uchumi wa taifa na kuchangia katika ustawi wa jamii nzima.
Nashukuru kwa umakini wako katika kutekeleza mipango ya maendeleo ya nchi yetu. Hii ni hatua muhimu zaidi katika kuhakikisha kuwa Tanzania inafikia kiwango cha juu cha maendeleo katika sekta zote muhimu.
Wako katika Ujenzi wa Taifa,
+255687746471
Asante sana
Ndugu wasomaji wa hii barua ya wazi ya ombi kwa Rais Dr. Samia Suluhu, hii ni rejea ya viwanda alivyo zindua 2024:
Hiki ni kiwanda cha ndege: