Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
Wakuu Naomba tutumie Uzi huu ku-post fursa za kibiashara zilizopo kwa jirani zetu Kenya ambazo watanzania tunaweza kuzitumia vivo hivyo kwa zilizopo Tanzania.Kwa kuchokoza, huko Kenya maeneo ya Mombasa inasemekana kuna kuna soko zuri la Karanga mbichi, Wakenya hebu tuelezeni kuhusu hilo