Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Habarini za muda huu tena
Tumekamilisha taratibu kadhaa za ushirikiano wa kibiashara na mojawapo ya halmashauri za mkoa wa Pwani na karibuni tutahamia huko na kuweka anuani rasmi na location

Sasa basi kwa wale ambao wana passport tayari naomba waanze kufanya yafuatayo
1. Kufanya booking ya tar 5 march kumekuwa na mabadiliko kidogo ya tarehe ya safari
2. Ndege ni ATCL ya moja kwa moja Guangzhou.. Safari ya masaa 13 nagano non stop
-Ticket ya kwenda na kurudi kwa mwezi huu ni dola 900
3. Gharama za viza ni Tsh 112,000
4. Gharama za barua ya mwaliko ni Tsh 150,000
5. Gharama za kuishi China kwa siku 7 hazitapungua Tsh 300,000 hii ni malazi na milo mitatu
6. Gharama za usafiri na ukalimani zinaweza kuwa bure au kwa Gharama ndogo kulingana na masoko na machimbo

Kwa wale ambao hawana passport lakini wana nia ya dhati ya safari nashauri waanze michakato sasa.. Gharama ya passport ni Tsh 150,000

Tutakuwa na kusanyiko la pamoja wiki ya mwisho ya mwezi huu wa pili kwa wale wote watakaokuwa wamekidhi vigezo vya safari.. Location utakuwa Pwani ya Kibaha

Dondoo muhimu
Niwatie moyo tena kwa wale wenye mitaji midogo isiyopungua milion 5.. Hawatapata hasara na kwa kwenda tu tayari watakuwa wamepiga hatua moja mbele
Kwenye ndege kila abiria anapewa nafasi ya kusafirisha Kilo 25 bure.. Ukifunga mzigo wa vitu rahisi kabisa vya 2.5M na kurudi navyo vitakurudishia pesa yako mara mbili

Mfano ukichukua simu 25 pekee kwa 2.5 huku kuuza 250K zitatembea na kupata zaidi ya 6M
Sasa kuna
Boxer
Chupi za kike
Urembo nknk
Hivi vyote ni fast moving items

Nimetoa mifano michache tuu hapa mengine tukionana ana kwa ana


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu niunge telegram kama hutojali naomba namba yako pm tumalizie taratibu zingine
 
Kwa vijana tusio na mishe tunaomba utaratibu wa kunufaika na Hilo jambo? For instance akatokea mtu mwenye Hela ila hana Muda , akaagiza mzigo na sisi tukasimamia biashara baada ya kukidhi vigezo?
 
Kutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka huu wa 2024 tarehe kumi hivi
Safari itakuwa ya pamoja kwa watu wasiopungua 10 na wasiozidi 20.. Faida ya safari hii ya pamoja
.Kupata barua ya mwaliko kwa bei nafuu
. Kupata tickets kwa bei nafuu
. Malazi ya pamoja ya bei nafuu uwapo huko
. Usafiri wa bei nafuu
. Ukalimani
. Mtandao wa maduka ya jumla makubwa na madogo
.Kupata connection mbalimbali za wafanyabiashara na wazalishaji wa China
. Gharama nafuu za chakula, vinywaji matembezi nknk
. Gharama nafuu na za uhakika za kusafirisha mizigo kurudi nchini..

Hii ni fursa mpya na wale watakaoweza kwenda ndio watafungua pazia kwa wengine huko mbeleni
Yale mambo ya kuagiza online ama kumuagiza mtu na kuishia kutapeliwa sasa yanafika mwisho.. Lakini vilevile kununua kitu kwa picha nayo yamafikia ukomo wake

Nitaweka mawasiliano rasmi kwa wale wote walio tayari.. Dirisha la waendaji litafungwa wiki ya pili ya mwezi February siku ya wapendanao

Nyongeza:
Kwa vijana wasio na mishe naweza kuwapa mizigo ya mali kauli kama wakitimiza vigezo na masharti

Sent using Jamii Forums mobile app
kaka hiyo ramani ya china bado ipo?
 
Mkuu nitakutafuta naona unaweza kunivusha mahali. Una roho ya dhahabu ambayo watanzania wengi tunapaswa kuwa nayo ili tuinuane.
 
Habarini za muda huu tena
Tumekamilisha taratibu kadhaa za ushirikiano wa kibiashara na mojawapo ya halmashauri za mkoa wa Pwani na karibuni tutahamia huko na kuweka anuani rasmi na location

Sasa basi kwa wale ambao wana passport tayari naomba waanze kufanya yafuatayo
1. Kufanya booking ya tar 5 march kumekuwa na mabadiliko kidogo ya tarehe ya safari
2. Ndege ni ATCL ya moja kwa moja Guangzhou.. Safari ya masaa 13 nagano non stop
-Ticket ya kwenda na kurudi kwa mwezi huu ni dola 900
3. Gharama za viza ni Tsh 112,000
4. Gharama za barua ya mwaliko ni Tsh 150,000
5. Gharama za kuishi China kwa siku 7 hazitapungua Tsh 300,000 hii ni malazi na milo mitatu
6. Gharama za usafiri na ukalimani zinaweza kuwa bure au kwa Gharama ndogo kulingana na masoko na machimbo

Kwa wale ambao hawana passport lakini wana nia ya dhati ya safari nashauri waanze michakato sasa.. Gharama ya passport ni Tsh 150,000

Tutakuwa na kusanyiko la pamoja wiki ya mwisho ya mwezi huu wa pili kwa wale wote watakaokuwa wamekidhi vigezo vya safari.. Location utakuwa Pwani ya Kibaha

Dondoo muhimu
Niwatie moyo tena kwa wale wenye mitaji midogo isiyopungua milion 5.. Hawatapata hasara na kwa kwenda tu tayari watakuwa wamepiga hatua moja mbele
Kwenye ndege kila abiria anapewa nafasi ya kusafirisha Kilo 25 bure.. Ukifunga mzigo wa vitu rahisi kabisa vya 2.5M na kurudi navyo vitakurudishia pesa yako mara mbili

Mfano ukichukua simu 25 pekee kwa 2.5 huku kuuza 250K zitatembea na kupata zaidi ya 6M
Sasa kuna
Boxer
Chupi za kike
Urembo nknk
Hivi vyote ni fast moving items

Nimetoa mifano michache tuu hapa mengine tukionana ana kwa ana


Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba mawasiliano yako kama hutajali ndugu Mshana Jr.
 
Back
Top Bottom