Fursa kwa wafanyabiashara na wateja wote

jijiletushop

Member
Oct 27, 2023
25
29
Kupitia JamiiForums, nimepata fursa ya kujitambulisha na kushirikiana na jamii hii yenye uchangamfu na busara.

Mimi ni mfanyabiashara naeagiza mzigo mbali mbali kutoka china kwa sasa na nipo hapa kuwaletea fursa za kipekee!

Ntakuwa niwaletea bidhaa bora za bei nafuu kuliko sehemu yoyote na ofa za kuvutia kwa wana Jamiiforum.

Kama wewe ni mfanyabiashara na unahitaji nikuagizie mzigo wowote kutoka china kama nitaweza kuupata kwa wakala wangu wa huko (kwa mteja alie serious Tu mteja)

Utalipia shilingi elfu ishirini tu kwa kila mzigo utakao agiza hivyo nashauri kama unaagiza usiagize mzigo mdogo au wa gharama ndogo kwa sababu bei ntakuuzia ni hiyo hiyo ya china kama ni saa ina uzwa 13,000 Tsh ntakuuzia kwa bei hiyo lakini itabidi ulipie gharama za kuagiziwa ambayo ni 20,000/= Kwa ndege pia nakuagizia vyovyote utakapo pendelea

Kwa sasa nime-base kwenye saa za mkononi na majumbani?

Ila nampango wa kutanua biashara niweze kuleta bidhaa mbalimbali ambapo kupitia huku JF zitakuwa na gharama ndogo sana ya kukidhii kila muhitaji.

Call 0745619549 maelezo zaidI.

Jiunge nami kwenye safari hii ya kujenga biashara inayojali thamani na ubora.Napenda kusikia kutoka kwenu ! Tufuate na tushirikiane kwa mafanikio ya pamoja. Asanteni na naomba mnipokee kuwa sehemu ya jamii yenu!"
 
watu wajiandae kupigwa na kitu kizito tena 🤣, kuna member humu kapigwa laki saba baada ya kumuamini member mwingine ambaye alileta uzi wake humu kuwa wana kampuni ya kusafirisha mizigo watu wakamuamini wakaishia kutapeliwa
 
Hii inaitwa fursa fursani,.

Unakuta ukishatuma tu ya kuagiza mzigo...kila ukipga simu...namba unayopiga haipatikani Kwa Sasa tafadhali jaribu tena badae😂Jua tayar.
 
Back
Top Bottom