Coso_Marketing
Member
- Dec 2, 2019
- 6
- 6
Karibu sana katika ziara itakayofanyika kuanzia tarehe 28 January hadi 4 February nchini Comoro.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums
Atalia mtu hapa
Ongezea nyama habari yako.Karibu sana katika ziara itakayofanyika kuanzia tarehe 28 January hadi 4 February nchini Comoro.
.View attachment 1311838
Sent from my iPhone using JamiiForums
😂😂😂😂Tafuta maeneo mengine wifey... unajua Komoro ndo mji mkuu wa IRAN?
A pure Tanzanian...
A true son of my lovely country Tanzania
Hakika umetuwakilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atalia mtu hapa
Ni kweli sanaVita kubwa tuliyo nayo Watanzania ni kukosa uaminifu, hii inaturudisha nyuma sana.
Huenda habari hii ni ya kweli, lakini kwasababu ya wengi kukosa uaminifu tunapuuzia kila kitu kuepuka kutapeliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
safi sana hii imekaa vyema.
Mtoa Uzi unaita watu bila maelezo. Elezea zaidi
Alexander
🤣🤣Tafuta maeneo mengine wifey... unajua Komoro ndo mji mkuu wa IRAN?
Mkuu mimi nina waamini ninyi sio matapeli.Karibu ujiunge nasi katika ziara ya kufanya biashara nchini Comoro katika sector za kilimo na mifugo pamoja na bidhaa za viwandani.
Ziara itafanyika kuanzia tarehe 28th Jan - 4th Feb.
Gharama za usafiri ni Usd 1000 (2.3 M za kitanzania)
Sent from my iPhone using JamiiForums