Pritty wa joseph
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,380
- 2,040
Wapi bei
Wapi bei[/QUOTE
Napatikana Mlandizi, bei ni:
1.Jumla ni Tsh. 15,000/-
2. Reja reja ni Tsh. 17,000/-
Yote ni kwa ujazo wa lita 5, ukihitaji unatoa Order
MlandiziUpo wapi
kuna jamaa yangu naye anataka kuanza hii biashara kwa kwenda kununua Singida galoni za ujazo wa lita 5, aliniambia bei ya kiwandani Singida kwa galoni ya lita 5 ni shilingi 12000.
Habari wadau..nataka kuanza biashara ya kuuza mafuta ya alizeti, mpango wangu ni kuchukua mafuta kwenye viwanda vidogo vidogo singida au dodoma...na kuyapeleka mwanza na dar, ambapo nitakuwa nauza kwa jumla na rejareja....naombeni msaada wenu kwa anayejua bei ya mafuta kwenye viwanda hivyo kwa 1lt, 3lt, 5lt au 10 lt na pia kwa atayenielekeza mahali viwanda vilipo atanisaidia sana...mbali na hayo nakaribisha wazoefu wa hii biashara kwa ushauri....mimi ni mlw nayesubiri ajira ambazo hazieleweki hivyo nimeamua kuwa na mawazo ya kujiajiri
natanguliza shukrani
Tafadhari tuma namba yako ya simu tuweze kuwasiliana.
Niko Babati ni mjasiria mali nina kiwanda cha kukamua alizeti!!
0755764394
0782023919
0752561552
Ubarikiwe!!
Duuh mtaani mafuta ni 14000 sasa sijui utanunua kwa bei gani
ahsante mkuu...mambo akiwa tayari nitakujuza nadhani next week....ila sitaanza na mzigo mkubwa sana si unajua ndo first mkuuTeacher fanya michakato yako utakapokuwa tayari kuanza nipe deal ya kusafirisha mzigo wako in both ways. Lakini ufanye na research kwa wengine ili utakaponichek uwe na reference utakaponieleza ukweli utanisaidia nami nitakusaidia kwa hakika. Karibu
Wasalaam
Dar nimenunua juzi kati