Fursa ya biashara kwa wenye mabasi

Kakondele

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
225
193
Fursa ya biashara kwa mtu anayemiliki basi kubwa au Tata,kuna njia ambazo zinauhitaji wa magari ya abiria kama sumbawanga_kigoma(500km),mwanza_tabora_sumbawanga(953km) na tabora_Mpanda_Sumbawanga(596Km) Njia hizi zina barabara mchanganyiko lami na vumbi na kwa asilimia kubwa zipo kwenye matengenezo abiria kwa ukanda huu ni wengi lakini changamoto kubwa ni usafiri.

Mfano Swanga_Mwanza hakuna gari la moja kwa moja hapo ni safari ya kuunga unga mpaka ukafike Mwanza au Tabora vivyo hivyo kutoka Kigoma kwenda Swanga kuna kampuni moja tu ya usafirishaji ambayo nayo huduma zake zinasua sua sababu ya ubovu wa magari.

Kwa atakae kuwa tayari kwa biashara hii tuwasiliane kupitia 0765062114/whatsap 0759399805 kwa maelezo zaidi juu ya nauli pamoja na hesabu nzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubovu wa barabara ndio unachangia kukosekana kwa usafiri mkuu ,hizo opportunity matajiri wanaziona sana
IMG_8038.JPG
IMG_8037.JPG

Mfano hizo si zinaivia njiani


It is never to late to begin. Start now
 
Hizo njia zinataka Mabasi yenye Body za kuchonga na sio hizi mayai,

Ndo maana wakina Coast line wanaziwezea au wakina Saratoga au Adventure na wengineo.ukiona hakuna mabasi mengi huko si kwamba Matajiri hawazijui no bali walisha calculate, hakuna njia wasio ijua
Fursa ya biashara kwa mtu anayemiliki basi kubwa au Tata,kuna njia ambazo zinauhitaji wa magari ya abiria kama sumbawanga_kigoma(500km),mwanza_tabora_sumbawanga(953km) na tabora_mpanda_sumbawanga(596Km) Njia hizi zina barabara mchanganyiko lami na vumbi na kwa asilimia kubwa zipo kwenye matengenezo abiria kwa ukanda huu ni wengi lakini changamoto kubwa ni usafiri mfano swanga_mwanza hakuna gari la moja kwa moja hapo ni safari ya kuunga unga mpaka ukafike mwanza au tabora vivyo hivyo kutoka kigoma kwenda swanga kuna kampuni moja tu ya usafirishaji ambayo nayo huduma zake zinasua sua sababu ya ubovu wa magari.
Kwa atakae kuwa tayari kwa biashara hii tuwasiliane kupitia 0765062114/whatsap 0759399805 kwa maelezo zaidi juu ya nauli pamoja na hesabu nzima

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo njia zinataka Mabasi yenye Body za kuchonga na sio hizi mayai,

Ndo maana wakina Coast line wanaziwezea au wakina Saratoga au Adventure na wengineo.ukiona hakuna mabasi mengi huko si kwamba Matajiri hawazijui no bali walisha calculate, hakuna njia wasio ijua

Sent using Jamii Forums mobile app

Coast line wanaume wale asee Musoma Arusha via serengeti, Ngorongori wale jamaa gari lao limechongwa kama gari la jeshi na linajaza balaa ile njia hakuna zaidi yake asee kuna kipindi alikua anatoa gari 2 kwa siku go and return uku wenzake wanatoa gari moja tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni hiace superoof na ipo na caria .
Vipi barabara ni lami ?
Ni km ngapi kutoka kirando-mpanda-namanyer??

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpanda_kirando ni 130 km barabara imechanganyika vumbi na lami,kutoka kirando mpaka namanyere ni vumbi kama km 30 na kutoka namanyere mpaka kwenye hifadh ya katavi ni lami ila mle ndani ya hifadhi ni vumbi napo,hiyo njia bado haina gari ya moja kwa moja nauli ni 14000/=

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom