Fursa ya biashara kwa sisi wa Uswahilini

Fursa ya biashara kwa sisi wa Uswahilini

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,356
Nilikwenda soko la Ferry kununua samaki. Niliona wavuvi wanauza dagaa kwa ndoo. Wazo nililolipata ni kwenda Ferry asubuhi na jiko la mkaa na kopo moja tu la mkaa ndani. Chupa ya mafuta na chumvi.

Ukishanunua wale dagaa unawakaanga pale unawaweka kwenye ndoo na kupanda nao mwendo kasi. Ukiuza wale dangaa kwa kipimo cha kibakuli utapata faida. Kabla sijaanza kama Kuna mtu yuko tayari aanze.
 
Mi nampango wa kuanzisha kijiwe matata cha ugali dagaa nakibrand kama mark juice. Buku jero tu unakula na mbogamboga unashiba unaenda kuhadithia. Ngoja nitafute madogo wa kufanya hii kitu.
 
Mi nampango wa kuanzisha kijiwe matata cha ugali dagaa nakibrand kama mark juice. Buku jero tu unakula na mbogamboga unashiba unaenda kuhadithia. Ngoja nitafute madogo wa kufanya hii kitu
Huku kwetu unakula ugali mboga saba kwa buku
 
Mi nampango wa kuanzisha kijiwe matata cha ugali dagaa nakibrand kama mark juice. Buku jero tu unakula na mbogamboga unashiba unaenda kuhadithia. Ngoja nitafute madogo wa kufanya hii kitu

Usisahau kachumbari na pili pili
 
Sio ameongea kama utani yeye ni wa kishua sasa alivyoona akajua ni kitu kipya au wazo jipya kumbe uswahili tangu mwaka 90 watu wanaishi staili hyo
Inawezekana kabisa kua wapo ambao walikua hawajui au hawakua na wazo hilo kabisa,so still mleta mada yupo sahihi.
 
Kuna kipindi Mshua niliwahi mlisha hao dagaa mchele na nguna.

Akasema ni msosi gani wa ki Lofa 😂😂😂 nikamwambia ndio watu wanaishi nao huo kimtaa. Asichukulie baridi!!!
Man, I don't know why I love you, nadhani because you are always happy. I don't know you, ila una raha, furaha na unajikubali
 
Back
Top Bottom