Fursa: Wanahitajika madereva 800 watanzania nchini Qatar

Fursa: Wanahitajika madereva 800 watanzania nchini Qatar

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, kwa kushirikiana na Mawakala mbalimbali wakiwemo kampuni tanzu ya Mkapa Foundation (Imara Horizon), Connect General Supplies Co. Ltd, Sassy Solutions Co. Ltd, pamoja na Larali Global Solutions, inawatangazia Watanzania wenye sifa kutuma maombi ya ajira kwa nafasi 800 za udereva.

Nafasi hizi zimetangazwa na kampuni ya usafirishaji ya MOWASALAT kutoka nchini Qatar, ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali kupanua fursa za ajira kwa vijana wa Kitanzania nje ya nchi. Waombaji wanahimizwa kuwasilisha maombi yao kwa kufuata taratibu rasmi, huku wakizingatia vigezo vilivyowekwa ili kufaidika na ajira hizi za kimataifa.

snapins-ai_3630679944779261068.jpg
snapins-ai_3630679944770817018.jpg
 
Huko Qatar zipo Volvo 2024 na 2025 badala ya kuwauliza walioferi walikuta lugha gani kwenye panel ya hizo Volvo ninyi mnataka kuongeza idadi ya watu kurudishwa tena wakati hizo gari zimejaa Borgsburg,Johannesburg agizeni moja iwe mnafundishana kabla hamjatia aibu kwa mara ingine tena..
Hizo Volvo FH Truck zina Euro 6 technology kuendesha mpaka ufundishwe ile panel yake.
 
Kwaio sisi tuliokua na D moja ata dili hili pia tunalikosa
 
Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, kwa kushirikiana na Mawakala mbalimbali wakiwemo kampuni tanzu ya Mkapa Foundation (Imara Horizon), Connect General Supplies Co. Ltd, Sassy Solutions Co. Ltd, pamoja na Larali Global Solutions, inawatangazia Watanzania wenye sifa kutuma maombi ya ajira kwa nafasi 800 za udereva.

Nafasi hizi zimetangazwa na kampuni ya usafirishaji ya MOWASALAT kutoka nchini Qatar, ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali kupanua fursa za ajira kwa vijana wa Kitanzania nje ya nchi. Waombaji wanahimizwa kuwasilisha maombi yao kwa kufuata taratibu rasmi, huku wakizingatia vigezo vilivyowekwa ili kufaidika na ajira hizi za kimataifa.

View attachment 3334356View attachment 3334357
Sema ni jambo gumu sana kumshauri KIAZI anayekaribia KUTAPELIWA.
 
Wameona aibu Sasa wameamua kutoa matangazo..🚮
 
Huko Qatar zipo Volvo 2024 na 2025 badala ya kuwauliza walioferi walikuta lugha gani kwenye panel ya hizo Volvo ninyi mnataka kuongeza idadi ya watu kurudishwa tena wakati hizo gari zimejaa Borgsburg,Johannesburg agizeni moja iwe mnafundishana kabla hamjatia aibu kwa mara ingine tena..
Hizo Volvo FH Truck zina Euro 6 technology kuendesha mpaka ufundishwe ile panel yake.
Tunatia aibu sana.
 
Huko Qatar zipo Volvo 2024 na 2025 badala ya kuwauliza walioferi walikuta lugha gani kwenye panel ya hizo Volvo ninyi mnataka kuongeza idadi ya watu kurudishwa tena wakati hizo gari zimejaa Borgsburg,Johannesburg agizeni moja iwe mnafundishana kabla hamjatia aibu kwa mara ingine tena..
Hizo Volvo FH Truck zina Euro 6 technology kuendesha mpaka ufundishwe ile panel yake.
Hii ndo ajabu tena, 700 wamefeli wamerudishwa, mnapeleka 800 wenye maarifa yaleyale ya waliofeli.
 
Huko Qatar zipo Volvo 2024 na 2025 badala ya kuwauliza walioferi walikuta lugha gani kwenye panel ya hizo Volvo ninyi mnataka kuongeza idadi ya watu kurudishwa tena wakati hizo gari zimejaa Borgsburg,Johannesburg agizeni moja iwe mnafundishana kabla hamjatia aibu kwa mara ingine tena..
Hizo Volvo FH Truck zina Euro 6 technology kuendesha mpaka ufundishwe ile panel yake.
Watu wakajifue basics zake mjini YouTube sasa.
 
Back
Top Bottom