Fursa mji wa Katoro mkoani Geita

Fursa mji wa Katoro mkoani Geita

Himizeni mji huo upangiliwe vizuri uwe mji mzuri na mkubwa.
Miji yote Tanzania iliyojengwa baada ya uhuru haina mpangilio. Yote ni hovyo tu hakuna sawage hakuna open space wala garden. Ni vurugu tupu. Mkoloni alikuwa na akili mara milioni ya ccm
 
Bank zipo
Kuna matawi ya Bank zote kubwa. CRDB, NMB, AZANIA, .....
Liyan hupajui katoro wew, kama hujui Matawi la Bank zote yapo katoro, unajua katoro ipi??.
Nmeku-tag kabla hajakutagi muuliza swali...
 
Vipi Katoro pameifunika hadi Tunduma?, nimepita maeneo yote mawili kitambo kidogo.
Katoro na Tunduma comparison zake ziko hivi...
1. Katoro pana kuliko Tunduma
2. Tunduma inapesa kuliko katoro (Aina za biashara nyingi, Biashara kubwa, isipokuwa nguo, population ya watu na magari, etc)
3. Makazi ya watu. (Katoro kubwa)
4. Madili mengi Tunduma inatisha.....
 
HUWEZI KUFAFANISHA KAHAMA NA UPUMBAVU HUO WA KATORO.


Ungekuja kusifia kahama ningekuona una akili

yani katoro hii chafuchafu unakuja kuiandika hapa badala usifie kahama.

KAHAMA NDO KILA KITU KANDA YA ZIWA YOTEEEEEE HIIIII
Tujulishe Kahama imeizidi vipi katoro bila kutumia matusi. Yeye mtoa mada kawa muungwana kutuonyesha fursa mbalimbali zinazopatikana kwao,Anatukaribisha.

Wewe unaweza kufanya hivyohivyo kuhusu Kahama bila matusi.
 
hakuna hoja uliyoleta hapa zaidi ya uroho wako wa kulakula huko katoro.

Msosi mzuri hata sumbawanga mjini upo.

KAHAMA NDO KILA KITU MAZEE
Wewe mkuu una matusi sana.

Geita na kahama were long established... Zilikuwa wilaya kitambo tu katoro pakiwa pote ni kichaka na nyumba za nyasi tupu...

Geita imeipita status Kahama imekuwa mkoa Fact one. Geita to Katoro ni 40km. They share many character one being good climatic condition,trade and wealth... I breathe so well in there(Katoro+Geita+Mwanza)...

Optionwise would love to reside in 1.Mwanza 2.Katoro 3.Geita rather than Dar or Arusha (currently based in Dar circumstantially aise! but ever been all over the places for fairly many years to each(Katoro,geita,kahama,mwanza, arusha,dar so i speak on experience))

From scratch Katoro imekuwa mpaka hapo unathubutu kuicompare na Kahama you should be ashamed... Watu wame argue ukubwa wa katoro comparatively na kahama or elsewhere e.g Tunduma(sijafika) so kama bado Katoro haijaifunika basi itaifunika Kahama vere soon
 
Kuna matawi ya Bank zote kubwa. CRDB, NMB, AZANIA, .....
Liyan hupajui katoro wew, kama hujui Matawi la Bank zote yapo katoro, unajua katoro ipi??.
Nmeku-tag kabla hajakutagi muuliza swali...

siyo vile vitawi vidgo nazumgumzia branch kubwa kubwa kahama zipo kubwa na katoro ni vidgo
 
Tujulishe Kahama imeizidi vipi katoro bila kutumia matusi. Yeye mtoa mada kawa muungwana kutuonyesha fursa mbalimbali zinazopatikana kwao,Anatukaribisha.

Wewe unaweza kufanya hivyohivyo kuhusu Kahama bila matusi.

Soma uzi hapo nishaeleza kila fursa iliyopo kahama
 
Wewe mkuu una matusi sana.

Geita na kahama were long established... Zilikuwa wilaya kitambo tu katoro pakiwa pote ni kichaka na nyumba za nyasi tupu...

Geita imeipita status Kahama imekuwa mkoa Fact one. Geita to Katoro ni 40km. They share many character one being good climatic condition,trade and wealth... I breathe so well in there(Katoro+Geita+Mwanza)...

Optionwise would love to reside in 1.Mwanza 2.Katoro 3.Geita rather than Dar or Arusha (currently based in Dar circumstantially aise! but ever been all over the places for fairly many years to each(Katoro,geita,kahama,mwanza, arusha,dar so i speak on experience))

From scratch Katoro imekuwa mpaka hapo unathubutu kuicompare na Kahama you should be ashamed... Watu wame argue ukubwa wa katoro comparatively na kahama or elsewhere e.g Tunduma(sijafika) so kama bado Katoro haijaifunika basi itaifunika Kahama vere soon

kahama na katoro nani amekusanya mapato mengi ?

Hapo utapata jibu wapi pakubwa

katoro hamna kitu, kahama yenyew ilikuwa pori toka zamani ila sasa inachanua na miaka ijayo tutajitenga na shinyanga
 
kahama na katoro nani amekusanya mapato mengi ?

Hapo utapata jibu wapi pakubwa

katoro hamna kitu, kahama yenyew ilikuwa pori toka zamani ila sasa inachanua na miaka ijayo tutajitenga na shinyanga
Katoro=Geita same thing.

Now do the maths.

I.e katoro ni kamji kapo wilaya ya Geita mkoa Geita

Kahama ni wilaya ina vimji vyake huko say kakora, runzewe.

Now to be fair fanya hivi:- Kahama na Geita nani amekusanya mapato mengi.
 
kahama na katoro nani amekusanya mapato mengi ?

Hapo utapata jibu wapi pakubwa

katoro hamna kitu, kahama yenyew ilikuwa pori toka zamani ila sasa inachanua na miaka ijayo tutajitenga na shinyanga
Huna hoja!

Katoro ni mamlaka ya mji mdogo, Katoro ni kijiji. Katoro imejengeka hivi karibuni haina miaka 20 tangu ijengeke, ila inakua kwa kasi. Inavutia watu wenye mitaji kuwekeza. Hata Kishimba (mbunge wako) kawekeza hapa. Katoro bado inajitafuta na inaendelea kukua kwa sana. Hata TRA wameanzisha dawati la kutolea huduma hapo.

Kahama ni wilaya! Mnahodhi migodi. GGM haipo Katoro. Kahama imejengwa kitambo.

Huwezi linganisha mtoto wa miaka 11 na mtu wa miaka 38. Kahama Acha iitwe Kahama.

Na Katoro wacha iwe Katoro, kuna watu wanategemea kupata kipato kutoka Katoro na wanaishi.

Na kama ulikua hujui, ktk business centres zote zilizopo Lake zone Katoro ndo ina gharama ndogo za maisha.


Kibwagizo: Umesema una mapene, njoo uwekeze Katoro.
 
Katoro Kuna nyomi ya pipo sijaona!!! Sijui km kuna mji mdogo nchi hii wenye idadi kubwa ya watu km pale Katoro
nyomi ni kubwa sana pia na mzunguuko wa biashara upo sana,nisehem nzuri sana yakujitafuta...mi nipo hapa huu mwaka wa nne,biashara yoyote hapa unapga ila ukitaka kufanikisha kwenye biashara yoyote hapa katoro usitake faida kubwa ndo maana hapa panasifika sana kwa vitu kuwa na bei ya chini,ila uzuri mzunguuko upo mkubwa sana....kwa yoyote anae taka kufanya biashara ya nguo za special anicheki nimuuzie site ipo kariakoo ipo mtaa mzur sana
 
B&A MACHINERY CARE INVESTMENT 🛠️
Huduma Bora kwa Mashine Kubwa na Magari ya Kazi Nzito!

Tunauza na kusambaza filters za kila aina:
🛢️ Mafuta | 💨 Hewa | 💧 Fuel/Water Separator | ⚙️ Hydraulic

Kwa matumizi ya:
✅ Excavators
✅ Wheel Loaders
✅ Trucks (HOWO, Scania, FAW, Shacman)
✅ Generators & Mashine nyingine nzito

🎯 Tunakuhakikishia:
✔️ Bidhaa Bora
✔️ Bei Nafuu
✔️ Delivery ya Haraka
✔️ Ushauri wa Kitaalam

📦 Tunafikisha filters hadi ulipo!
📲 Piga/WhatsApp: +255 692 328 622 / +255 656 126 296
📍 Tunapatikana dukani kwa huduma za papo kwa hapo.

👑 MTEJA KWETU NI MFALME
Hakikisha mashine yako inafanya kazi bila kusumbua!
Jaman wana katoro wenzangu naomba support yenu ndugu yenu,kijana wenu wenye migodi midogo na mikubwa, mkihitaji namba zipo hapo tuwasiliane kwa uaminifu mkubwa kabsaa
 
Back
Top Bottom